Kumbe ndio maisha yao ya kutegemea mikopo ya mpesa nlikuwa cjuiHawa hawawezi kujua maisha wamezoea ni kuchakarika kutafuta rent za land owners wao ila future life hawanaikiwa 50% wakenya wanategenea mikopo ya mpesa imagine





Hicho kibao ndio fashion kuwa hivyo au? Waweke cha kisasa bhn hawaoni aibu jmn? Mbn haina gharama yyte.










Hii yenu ni size ya Wilson Airport NBO😁Angalia urefu wa njia ya kurukia ndege, kuna mbwa wanataka kufananisha na JKIAView attachment 1876151
BTW JNIA ina runway mbili!Hii yenu ni size ya Wilson Airport NBO😁
View attachment 1876171
View attachment 1876172
View attachment 1876173
View attachment 1876174










Miradi ya umeme you say😂😂🤣🤣🤣Sasa hvi tuko bsy na infastructure tuko bzy na ujenzi wa dodoma tuko bzy na miradi ya umeme ambayo kwenu itabakia historia 😆
Aibu naskia mmHii yenu ni size ya Wilson Airport NBO
View attachment 1876171
View attachment 1876172
View attachment 1876173
View attachment 1876174
View attachment 1876185








Still less than ya JKIA hata zikiwa combined 🤣🤣🤣.BTW JNIA ina runway mbili!
Endless runway kudadadekiStill less than ya JKIA hata zikiwa combined.






