Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

6CCF66EE-35DF-49D6-ADC4-D026E79AFFD3.jpeg
 
Hawa hawawezi kujua maisha wamezoea ni kuchakarika kutafuta rent za land owners wao ila future life hawana [emoji38][emoji38][emoji38] ikiwa 50% wakenya wanategenea mikopo ya mpesa imagine
Kumbe ndio maisha yao ya kutegemea mikopo ya mpesa nlikuwa cjui [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Angalia urefu wa njia ya kurukia ndege, kuna mbwa wanataka kufananisha na JKIA [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116]
JamiiForums-333057565.jpg
 
Sasa hvi tuko bsy na infastructure tuko bzy na ujenzi wa dodoma tuko bzy na miradi ya umeme ambayo kwenu itabakia historia 😆
Miradi ya umeme you say😂😂🤣🤣🤣

image_52717f69-6116-4c88-8d58-fa54c1b9cdaf20210323_064236.jpg



Infrastructure pia was in your list?😂😂🤣👇👇

IMG_20210712_220639.jpg
 
Back
Top Bottom