ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Nilisema jana kama munakumbuka 🙌🙌
Siku utaskia tumeshindwa kulipa Deni kama nyinyi usisahau kunitag tafadhali🤣😂😂Ilipe deni kwa nani ikiwa inakopa peter kulipa paul 😆😆😆😆😆
![]()
Why Kenyans are ‘borrowing from Peter to pay Paul’
Bio Latest Posts Kenyan DigestThe Kenyan Digest Team Latest posts by Kenyan Digest (see all) Sakaja was not arrested and was not summoned, police say - June 17, 2022 Zari came, wowed and left the country millions richer - June 13, 2022 Dhutia over the moon with victory at Nyali - June 13, 2022...kenyandigest.com
Asante kwa picha za miaka zako😂🤣🤣
lakini hiyo pesa yote going out of the economy in relation to your GDP ni mingi mno hata waki wahurumia na kuondoa interests zote!!., ilhali what will remain in Kenyan soil is over Ksh3T., yaani zaidi sana ya pesa zenyu mnazopeleka nje!., and who told you kwa deni ya Kenya hakuna soft loan ya IMF na World bank?., za China hazifiki ata nusu yake., so in comparison mko hovyo zaidi kwa ujumla.,Uzuri wa external debt za tanzania most are from world bank ambayo ni soft loan interst ndogo sana na payment period ni kubwa sana umeona tofaut ya mlevi na mwenye akili 😆😆😆😆😆
Uchafu ni jadi ya mkenya mbn hatushangai, kwanza vipi mliacha kukunya kwa mifuko [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Asante kwa picha za miaka zako[emoji23][emoji1787][emoji1787]
Eti bwana Mapesa mliacha kukunya kwa mifuko [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Siku utaskia tumeshindwa kulipa Deni kama nyinyi usisahau kunitag tafadhali[emoji1787][emoji23][emoji23]
Nani kafananisha Japan na Kenya? wacha kukwepa ukweli na kajisababu uchwara 😂 😂 😂 😂 , hapa tunaongelea Kenya na Tanzania fukara., tofauti ya deni ya ndani na ya nje, inadhihirika wazi Tanzania kwa ndani ni fukara zaidi, uchumi hauna uwezo wa kukopesha serikali ya CCM pesa nyingi, inabidi mtemebeze bakuli IMF, World bank na China, kwa 71% of your total debt!!!.., alafu unaleta hapa nyef nyef zako.,mko hovyo kishenzi kaka😂😂😂😂Huwezi fananisha japan na kenya kwanza hilo tayar ni tango pori 😆😆😆 japan iko miaka 300 mbele ya kenya hio dudu toa kichwani ww na wenzako wote
Japan haizungumzii maji wala afya wala barabara kwa sasa japan wanazungumzia kwenda mars
Tofaut ni kubwa sana sawa na mbingu na ardhi, akili kichwani 😆😆😆
Sijakuelewa mama ngina umeandika nini hapooya, haya ndio madhara ya kuvutia bangi chooni! tafadhali kunywa maziwa....
Iringa hiyo hawajui tuu
Kuja pole pole nanii.., Mombasa bado iko jikoni inapikwa.., ngoja chakula kiive wacha kuonja onja bro😂 😂 😂 😂 😂Hii picha mbona hamupost tena 😆😆 au mchina kashachanganya madawa tena
View attachment 1877491
Hakuna mahali sgr deal itatajwa kesho na kagame, mark this post.
Wapi imeandikwa sgr hapo? Pili tumuamini Mwigulu au wewe Geza? Tatu rating kama iko juu mbona govt ina struggle kupata hiyo mikopo nafuu huko kwenye jamii za kimataifa? Mwisho wewe sio mpangaji wa bajeti za Kenya,watatumaje haukuhusu wewe hutowasaidia kulipa.
Ushazeeka akili sasa pumzika.
Na si hii 3level interchange inamuuma😂😂😂,ata haijamalizika na kilio imeaza😁Dunia haiishi vituko, c ndio maana huoni wakiipost mana km kawaida yao render ina point north wao wanaelekea South [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1877131View attachment 1877132
Hivi mbona wakenya wanachezewa sana na viongozi wao!!?Kwahiyo walioandika hapo kwenye render huwataki au sio [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1877232View attachment 1877233
Aawapi hilo daraja la juu linakaa pedestrian bridge! hapo ni 2 levels interchange plus a pedestrian overpass! 3 levels interchange haitaki upuuzi wa standard za Mchina! hainaga shortcuts!!Na si hii 3level interchange inamuuma😂😂😂,ata haijamalizika na kilio imeaza😁
Wacha Ni zoom mlie vizuri
View attachment 1877550
Ndio nini "economic wisdom" in economics...pili jifunze kuelew basics akuna kitu inaitwa kulimit outflow bali control...alafu wacha kusoma namba kama unasoma kitabu....ni kweli pesa yenu iko na value over ours yes but haina ppp kubwa kama yetu...Hiyo ni pesa nyingi sana mnatoa nje ya nchi kulipa madeni.., so Kenya is way better than Tz, most of the money; yaani over Ksh3 trillion zitabaki Kenya, hiyo ni zaidi ya deni yenyu mtakayo toa nje ya nchi mnazo fikiria ni kidogo kuliko ya Kenya, so who is smarter now? it is economic wisdom to limit ouflow of cash from the economy., Kenya imewapiga bao hapa, tatu bila!!..,
Ndio hii au [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na si hii 3level interchange inamuuma[emoji23][emoji23][emoji23],ata haijamalizika na kilio imeaza[emoji16]
Wacha Ni zoom mlie vizuri
View attachment 1877550
Sasa tuongelee hapa EA, ni pesa gani ambayo ina purchasing power..Ndio nini "economic wisdom" in economics...pili jifunze kuelew basics akuna kitu inaitwa kulimit outflow bali control...alafu wacha kusoma namba kama unasoma kitabu....ni kweli pesa yenu iko na value over ours yes but haina ppp kubwa kama yetu...