Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 8,996
- 6,922
Wacha upumbavu! Tanzania's credit rating ipo juu ya Kenya! Ningeona huo mkopo wa Kunyaland wa maana kama wangeenda kujenga kipande cha Naivasha-Kisumu-Malaba! Ila sioni impact yake maana wanachukua mkopo kipindi cha corona na kwa ujenzi wa highway wakati wanaendelea kusuasua kwenye ujenzi wa SGR ulioishia machakani!
Kwetu sie Samia anaenda Kigali kesho kusaini makubaliano rasmi ya electrical SGR Isaka-Kigali!
![]()
Meanwhile the bag of goodies keeps coming!
Wapi imeandikwa sgr hapo? Pili tumuamini Mwigulu au wewe Geza? Tatu rating kama iko juu mbona govt ina struggle kupata hiyo mikopo nafuu huko kwenye jamii za kimataifa? Mwisho wewe sio mpangaji wa bajeti za Kenya,watatumaje haukuhusu wewe hutowasaidia kulipa.
Ushazeeka akili sasa pumzika.