Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Watatoa wapi pesa ya kulipa ikiwa hata banda la choo hawana 😆😆😆😆😆
 
Gape ni kubwa mno, wanga kutoka North wako na ndege 3 chakavu wkt cc tunazidi kudondosha madege ya kisasa on cash basis [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndio tofauti ya uchumi mkubwa na mdogo au real gdp na gdp ya makaratasi
 
Hakuna kukwepa mada 😆😆👇👇

Ila ana-advice city planners kutumia hiyo space kwa pedestrian! Japokuwa ni mfereji imara, hamaanishi kwamba amependa huo mfereji kubaki wazi na kuchukua nafasi ambayo ingeweza kutumika kivingine! Mfuatilie vizuri utaelewa alichomaanisha!
 
Kweli huna akili ya kuinterprate mapicha, the guy focused on the writing on the bus. He wanted to tell you that Nairobi is advertised even in the streets of London.
Even Tz is advertised in london buses underground and football stadiums not a big deal though
 
Hapo sio kijitonyama hamjui Dar ila mnapenda ku comnent about Dar
Ukimpa hii hataki 😆😆👇👇👇
514A1091-068C-45B0-9CF4-AB53AD5A399F.jpeg
9C65CB4D-2AEB-4AFD-930A-B02F6C8DFAD4.jpeg
 
Back
Top Bottom