El Matador
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 7,132
- 3,936
That's their main problem. ....exposure. Wamejazana Catholic University hapa Kenya. ...LolHapo unachofanya ni kutaka niinyumbue .. yaani nianze hivi.. mbagala kuu, saku, rangi tatu, mtoni, kwa azizy ally, tandale kwa mtogole, maji matitu, charambe, temeke mwisho, kizuiani nk... huna hoja.. na hapa ndipo tunapofail watanzania.. hatupendi kukubali kuwa tuko nyuma.. na hata tukiambiwa kuwa wenzetu wametuacha tunakataa.. kuna mwaka nilienda HARARE.. yaan kumeendelea sana huko huwezi linganisha na hapa kwetu.. bro sisi tuko nyuma.. na tatizo kubwa ni kwamba hatuna elimu au WATZ wengi hawajatembea.. sio hivyo tu hata wakazi wengi wa DAR hawajatembea hata kufika morogoro tu ni shida.. even kibala few miles from DAR CITY..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app