Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Thanda Island Mafia

island-2016-04-home-page.jpg.1920x807_default.jpg


island-2016-02-home-page.jpg.1920x807_default.jpg
Pazuri kinoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ujui kuwa mbavyo kuwa na viwanda vingi vya cement being ya cement inapungua. Soon utaona Dangote cement in Kenya. Anamalizia kujenga port ya Mtwara kuanza exportation ya cement yake kwa meli. Atauza huko Kenya at 200/=Kshs tuone kama mtaikataa. Chezea Dangote
We have our own cement factories, we don't adore Dangote's... FDI is good but where investment s already okay then the government has to protect the local firms
 
Nimekuona Mpuuzi tena wakiwango cha Treni ya SGR ya kenya
Hivi kati ya Mbagala na Kibera unaweza linganisha kama una akili timamu kweli!!
Jipime Kabla ya Kutapika
Umeona picha au umefika hayo maeneo?? Maana kama haujafika basi ww ni mpuuzi tena mkubwa.. Kibera now days kuna project kubwa ya maghorofa kama yale ya UDSM.. tembea uone.. lzma tujifunze kwa wenzetu.. wakenya wako mbali kidogo kupita sisi hata uchumi wao uko stable....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeona picha au umefika hayo maeneo?? Maana kama haujafika basi ww ni mpuuzi tena mkubwa.. Kibera now days kuna project kubwa ya maghorofa kama yale ya UDSM.. tembea uone.. lzma tujifunze kwa wenzetu.. wakenya wako mbali kidogo kupita sisi hata uchumi wao uko stable....

Sent using Jamii Forums mobile app
Pumzika ndugu hakuna haja yakutoa povu kiasi hicho....usije ugua buree😀😀😀😀😀
 
  • Thanks
Reactions: nao
Umeona picha au umefika hayo maeneo?? Maana kama haujafika basi ww ni mpuuzi tena mkubwa.. Kibera now days kuna project kubwa ya maghorofa kama yale ya UDSM.. tembea uone.. lzma tujifunze kwa wenzetu.. wakenya wako mbali kidogo kupita sisi hata uchumi wao uko stable....

Sent using Jamii Forums mobile app



your fellow countrymen like living in denial
 
Back
Top Bottom