IamLee
JF-Expert Member
- Apr 23, 2017
- 6,628
- 7,820
Kenya's GDP PPP is $1,455 while Tanzania’s is $879 brother, try something elsepoverty below line in kenya is 43.9% kapumzike baba😀😀😀😀😀😀😀😀
Kenya's GDP PPP is $1,455 while Tanzania’s is $879 brother, try something elsepoverty below line in kenya is 43.9% kapumzike baba😀😀😀😀😀😀😀😀
sisi hua tunawaskitikia sana 😀😀😀😀😀😀
sio mm ni UNICEFKenya's GDP PPP is $1,455 while Tanzania’s is $879 brother, try something else
I normally feel sorry for these Kenyans🙁🙁
Lol......They don't know dangote cement will remmit some of the proceeds back to naija. ...Lol.check control accounting. ....Another episode of those itakuwa tales.
I like this chart, this chart shows the big brothers, look Azam media group is nowhere to be seen, lakini naona Nation media group hapo
Navyo ongea ujenzi upo unaendelea. Magufuli hana time yakupoteza muda. Huwezi kwa awamu yake unakaa pembeni. Alafu Jana kamalizia likizo yake ya mapumziko. Dude liko ofisini linachapa kaziAnother episode of those itakuwa tales.
Hapo unachofanya ni kutaka niinyumbue .. yaani nianze hivi.. mbagala kuu, saku, rangi tatu, mtoni, kwa azizy ally, tandale kwa mtogole, maji matitu, charambe, temeke mwisho, kizuiani nk... huna hoja.. na hapa ndipo tunapofail watanzania.. hatupendi kukubali kuwa tuko nyuma.. na hata tukiambiwa kuwa wenzetu wametuacha tunakataa.. kuna mwaka nilienda HARARE.. yaan kumeendelea sana huko huwezi linganisha na hapa kwetu.. bro sisi tuko nyuma.. na tatizo kubwa ni kwamba hatuna elimu au WATZ wengi hawajatembea.. sio hivyo tu hata wakazi wengi wa DAR hawajatembea hata kufika morogoro tu ni shida.. even kibala few miles from DAR CITY..na je ukiingia nairobi maeneo haya utasemaje😀😀😀😀😀😀
safari hii mutafungua acc kibao lakini wapi
- Baba Ndogo
- Dandora
- Fuata Nyayo
- Huruma
- Kawangware
- Kangemi
- Kiambiu
- Kibera (including Gatwekera, Kambi Muru, Kangemi, Kianda, Kichinjio, Kisumu Ndogo, Laini Saba, Lindi, Makina, Makongeni, Mashimoni, Mugumoini, Raila, Sarang'ombe, Shilanga, Siranga, Soweto East and Soweto West)
- Korogocho
- Majengo, Nairobi
- Matopeni
- Mathare
- Mathare Valley
- Mukuru kwa Njenga
- Mukuru slums
- Nyalenda
- Pumwani
- Ziwa la Ng'ombe
- Kenyatta University Slums
Boeing 787-8 Dreamliner
hahah charambe mwisho unapajua wewe acha kutuletea siasa hapa sio uwanja wakeHapo unachofanya ni kutaka niinyumbue .. yaani nianze hivi.. mbagala kuu, saku, rangi tatu, mtoni, kwa azizy ally, tandale kwa mtogole, maji matitu, charambe, temeke mwisho, kizuiani nk... huna hoja.. na hapa ndipo tunapofail watanzania.. hatupendi kukubali kuwa tuko nyuma.. na hata tukiambiwa kuwa wenzetu wametuacha tunakataa.. kuna mwaka nilienda HARARE.. yaan kumeendelea sana huko huwezi linganisha na hapa kwetu.. bro sisi tuko nyuma.. na tatizo kubwa ni kwamba hatuna elimu au WATZ wengi hawajatembea.. sio hivyo tu hata wakazi wengi wa DAR hawajatembea hata kufika morogoro tu ni shida.. even kibala few miles from DAR CITY..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo unachofanya ni kutaka niinyumbue .. yaani nianze hivi.. mbagala kuu, saku, rangi tatu, mtoni, kwa azizy ally, tandale kwa mtogole, maji matitu, charambe, temeke mwisho, kizuiani nk... huna hoja.. na hapa ndipo tunapofail watanzania.. hatupendi kukubali kuwa tuko nyuma.. na hata tukiambiwa kuwa wenzetu wametuacha tunakataa.. kuna mwaka nilienda HARARE.. yaan kumeendelea sana huko huwezi linganisha na hapa kwetu.. bro sisi tuko nyuma.. na tatizo kubwa ni kwamba hatuna elimu au WATZ wengi hawajatembea.. sio hivyo tu hata wakazi wengi wa DAR hawajatembea hata kufika morogoro tu ni shida.. even kibala few miles from DAR CITY..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ya Tanzania ni 88%sio mm ni UNICEF
People living below the poverty line:
46%
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
https://www.google.com/url?sa=t&rct...6.html&usg=AFQjCNFi1QYjnw7uJ449jJ9_NuM-PQy-cA