Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii picha si Nairobi kama unabisha leta picha zaidi ya hii sehemu!
Methuselah bana there's nothing you know about Nairobi, here is the same image of the place you are saying is not Nairobi.


1627837043743.png
 
Wenye akili zao washajua 😆😆😆😆





Nampa kongole uhuru,huku Tzn sio kwamba Serikali haitaki mikopo ila tatizo ni kukopesheka ndio shida nchi bado inachukuliwa LDC na wakopeshaji wanaona risk kwamba Tzn inaweza ku default..

Ndio maana Finance Minister alisema wanahangaika na rating agency zi upgrade credit rating yetu Ili Serikali itafute pesa za mikopo kufanya miradi mikubwa.Mia mia za miamala haziwezi kuivusha Nchi.
 
Nampa kongole uhuru,huku Tzn sio kwamba Serikali haitaki mikopo ila tatizo ni kukopesheka ndio shida nchi bado inachukuliwa LDC na wakopeshaji wanaona risk kwamba Tzn inaweza ku default..

Ndio maana Finance Minister alisema wanahangaika na rating agency zi upgrade credit rating yetu Ili Serikali itafute pesa za mikopo kufanya miradi mikubwa.Mia mia za miamala haziwezi kuivusha Nchi.
Wacha upumbavu! Tanzania's credit rating ipo juu ya Kenya! Ningeona huo mkopo wa Kunyaland wa maana kama wangeenda kujenga kipande cha SGR Naivasha-Kisumu-Malaba! Ila sioni impact yake maana wanachukua mkopo kipindi cha corona na kwa ujenzi wa highway wakati wanaendelea kusuasua kwenye ujenzi wa SGR ulioishia machakani!

Kwetu sie Samia anaenda Kigali kesho kusaini makubaliano rasmi ya electrical SGR Isaka-Kigali!









E7sVBHZX0AINnyy




Meanwhile the bag of goodies keeps coming!

 
Nampa kongole uhuru,huku Tzn sio kwamba Serikali haitaki mikopo ila tatizo ni kukopesheka ndio shida nchi bado inachukuliwa LDC na wakopeshaji wanaona risk kwamba Tzn inaweza ku default..

Ndio maana Finance Minister alisema wanahangaika na rating agency zi upgrade credit rating yetu Ili Serikali itafute pesa za mikopo kufanya miradi mikubwa.Mia mia za miamala haziwezi kuivusha Nchi.
Ningekua na uwezo ningelike hii post mara mbiri. Umenana ukweli mtupu.
 
wacha upumbavu! Tanzania's credit rating ipo juu ya Kenya! Ningeona huo mkopo wa Kunyaland wa maana kama wangeenda kujenga kipande cha Naivasha-Kisumu-Malaba! ila sioni impact yake maana wakati wanaendelea kusuasua kwenye ujenzi wa SGR Samia anaenda Kigali kusini makubaliano ya electrical SGR Isaka-Kigali!
Mpeni ulinzi Opportunity Cost manake usalama wake uko hatarini
 
Back
Top Bottom