Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

vitu vimelipwa nn!
mwenye anaejua ile iliyoenda china ilikuwa na jina gan pale mbele? na je imeonekena ikifanya kazi bongo.. maana sijasikia imerud.. kuna mawili.. imerud kimya kimya au imedakwa huko.. kuondoa huu utata naomba kujua jina la hilo ndege na siku ilipoenekana huku bongo
Iliyoenda China ipo poa tu na baada ya safari ya kwanza iliendelea kupiga freight flights . Remember wanaoingia China kwa sasa ni Chinese nationals peke yao na Diplomats, so hamna abiria wa kutosha IMO, ila Cargo nina uhakiaka inakamua.
 
vitu vimelipwa nn!
mwenye anaejua ile iliyoenda china ilikuwa na jina gan pale mbele? na je imeonekena ikifanya kazi bongo.. maana sijasikia imerud.. kuna mawili.. imerud kimya kimya au imedakwa huko.. kuondoa huu utata naomba kujua jina la hilo ndege na siku ilipoenekana huku bongo
Screen Shot 2021-07-29 at 15.59.23.png

Naona ni Kitu ROBONDO ISLAND.
 
Naona swali limekushinda sio..nayasubiria hayo mabwawa ambayo yapo on service na ni ya mikopo
As niko sure na ninachoongea taja jina la Bwawa na location hapo Kunyaland nikutajie mlichukua mkopo wapi! Kwa vile niko suree 100% all ur dams were financed through credits!
 
Back
Top Bottom