Justinr
JF-Expert Member
- May 22, 2020
- 3,709
- 6,832





wacha kujifanya alamanga...jaribu tena bahati yako


utadinywa mpka uelewe





wacha kujifanya alamanga...jaribu tena bahati yako


utadinywa mpka uelewe
Wakati Mwanza haina overpass or interchange hata moja,,eti na Ni city😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Size ya Dar.., ni BRT na gorofa tatu., mchezo kwisha.., #Mombasa raha..,
View attachment 1873121
View attachment 1873126
View attachment 1873128
View attachment 1873152
View attachment 1873154
View attachment 1873157View attachment 1873156
View attachment 1873159
Kusanya mombasa kusanya nairobi kusanya kisumu kufikia density ya dar mutasubiri miaka 50 ijayo 😂😂👇👇👇👇Mama na mtoto wake., wako sako kwa bako..,
Mombasa City.,
View attachment 1873107
Dar City
View attachment 1873110
Dar..,
Asante kwa render 😂😂😂😂See the overpass above(southern bypass/Mombasa road interchange) in artistic impression 😁😍
View attachment 1873194
Unitag akifanya hvo 😆😆😂😂Leta hiii apo kunya nzima ...km mko na ata ubavu ......kifupi nirobary ni k/koo iliyo changamka na vijengo 5View attachment 1873214
Oneni sasa 😂😂😂 pamoja na lipstic lakini wapi ngoma inakataaHakuna tofauti na Mombasa 😁😁
Utaskia wakilia,ohhhh hizo zenu
ni fupi🤣,, wait and see
View attachment 1873230
Tunajenga overpass kutokana na mahitaji sio nyinyi munachukia ma loan ya ovyo munaenda jenga overpass eldoret mukitegemea itafaa miaka 30 inayo wakat hzo infastructure zinaisha na kuchoka 😆😆Wakati Mwanza haina overpass or interchange hata moja,,eti na Ni city😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ilala tu ina density kubwa kuliko upperhill 😂😂😂👇👇👇wacha kujifanya alamanga...jaribu tena bahati yako
utadinywa mpka ueleweView attachment 1873241View attachment 1873242
Kwani zile uwongo uwongo za ati Kilimanjaro, Serengeti na Ngorongoro zipo kenya havifanyi kazi siku hizi!kwann sio kenya.. kila siku Tanzania au Zanzibar



Hii sababu yake hasa ni nini?Iliyoenda China ipo poa tu na baada ya safari ya kwanza iliendelea kupiga freight flights . Remember wanaoingia China kwa sasa ni Chinese nationals peke yao na Diplomats, so hamna abiria wa kutosha IMO, ila Cargo nina uhakiaka inakamua.
Hii sababu yake hasa ni nini?
kama ni issue sensitive potezea.