Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Aawapii Kunyaland hiyohiyo!? hamna kitu mnaweza jenga bila loan...!








Nionyeshe mabwawa ambayo yapo in service yaliyojengwa kw mikopo
 
Unafanyaje kazi miaka mitatu bila kulipwa? Wewe jiulize hilo swali?Walikuwa wanakula nini? Walikuwa wanavaa nini bila mshahara au mapato yoyote? Habari kama hizi hazina mantiki yoyote.
Anapenda sna kulishadadia hilo gazeti
 
Kumbe hujui.

1. Kaka, chaguo la mgombea mwenza, Magufuli alimchagua Dr Hussein Mwinyi. Hili ndio lilikua CHAGUO la Magufuli.

Samia ni fitna ya Kikwete aliyekichomeka jina hili na kupigiwa kampein kwa kigezo cha "gender" ndio Mwinyi akapigwa chini.

Tafuta clip uone Magufuli akiliongelea mbeke ya CCM huko Dodoma.

2. Swala la Corona, Magufuli alikua sahihi sana hata top WHO wanakubaliana naye. Nenda South Africa ukajifunze athari za Covid safety measures za kukurupuka zilivyo athiri uchumi na kulimega taifa.

Hakuna chanjo ya Corona iliyo salama. Chanjo huchukua 10 or more years kujua side effects zake kwa short, mid na long term - hizi zote zimechukua miezi kadhaa tu na hata hao watengenezaji wanajua si salama na ndio maana wanashinikiza Serikali zote kusaign makuvaliano wakiogopa kushtakiwa kwa kitakachotokea baada ya chanjo.

Serikali nazo, hushurutisha watu kujaza form na kukubali certain conditions.

View attachment 1871652
Hizi chanjo, nyingi zimepigwa narufuku kwenye nchi nyingi kwa sababu mbali mbali. Kama Johnson, Zeneka.

Thanks.
mkuu upo sawa
 
Kumbe hujui.

1. Kaka, chaguo la mgombea mwenza, Magufuli alimchagua Dr Hussein Mwinyi. Hili ndio lilikua CHAGUO la Magufuli.

Samia ni fitna ya Kikwete aliyekichomeka jina hili na kupigiwa kampein kwa kigezo cha "gender" ndio Mwinyi akapigwa chini.

Tafuta clip uone Magufuli akiliongelea mbeke ya CCM huko Dodoma.

2. Swala la Corona, Magufuli alikua sahihi sana hata top WHO wanakubaliana naye. Nenda South Africa ukajifunze athari za Covid safety measures za kukurupuka zilivyo athiri uchumi na kulimega taifa.

Hakuna chanjo ya Corona iliyo salama. Chanjo huchukua 10 or more years kujua side effects zake kwa short, mid na long term - hizi zote zimechukua miezi kadhaa tu na hata hao watengenezaji wanajua si salama na ndio maana wanashinikiza Serikali zote kusaign makuvaliano wakiogopa kushtakiwa kwa kitakachotokea baada ya chanjo.

Serikali nazo, hushurutisha watu kujaza form na kukubali certain conditions.

View attachment 1871652
Hizi chanjo, nyingi zimepigwa narufuku kwenye nchi nyingi kwa sababu mbali mbali. Kama Johnson, Zeneka.

Thanks.
Sasa Mwinyi mlikuwa mnataka awe rais kwa mara ya pili?
 
Kumbe hujui.

1. Kaka, chaguo la mgombea mwenza, Magufuli alimchagua Dr Hussein Mwinyi. Hili ndio lilikua CHAGUO la Magufuli.

Samia ni fitna ya Kikwete aliyekichomeka jina hili na kupigiwa kampein kwa kigezo cha "gender" ndio Mwinyi akapigwa chini.

Tafuta clip uone Magufuli akiliongelea mbeke ya CCM huko Dodoma.

2. Swala la Corona, Magufuli alikua sahihi sana hata top WHO wanakubaliana naye. Nenda South Africa ukajifunze athari za Covid safety measures za kukurupuka zilivyo athiri uchumi na kulimega taifa.

Hakuna chanjo ya Corona iliyo salama. Chanjo huchukua 10 or more years kujua side effects zake kwa short, mid na long term - hizi zote zimechukua miezi kadhaa tu na hata hao watengenezaji wanajua si salama na ndio maana wanashinikiza Serikali zote kusaign makuvaliano wakiogopa kushtakiwa kwa kitakachotokea baada ya chanjo.

Serikali nazo, hushurutisha watu kujaza form na kukubali certain conditions.

View attachment 1871652
Hizi chanjo, nyingi zimepigwa narufuku kwenye nchi nyingi kwa sababu mbali mbali. Kama Johnson, Zeneka.

Thanks.
Siasa maji taka hizo toka kwako!

Kabla ya kujua Mazingira ya siasa 2015 hupaswi kuongea na kumpa lawama Kikwete! Ufahama CHADEMA ilikuwa na nguvu na ilianza kula supporting base ya CCM ambayo ni Wanawake huku vijana ikiwa ishainyakua! Sasa kamati Kuu CCM ililiona hilo na kupitisha Azimio la Mgombea Mwenza awe Mwanamke ili kuibakisha hiyo supporting base!

Wacha Siasa Maji Taka!

BTW Tanzania (JMT) si nchi ya Kifalme yaani baba na mtoto kutawala kuna wengi wenye sifa za Uongozin pia!
 
kwa wenzetu ni tower tatu
tapatalk_1627546434685.jpg
 
hio ndo 50M? hamko serious
  • hio sio trophy
  • picha ya mdada (hereni & skirt).. ilifaa kuwa ya netball sio football
  • hio ingefaa kuwa award ya mchezaji bora (female best player), unfortunately inapewa team ya wanaume wa ligi kuu
That's a maasai its showing african culture not coping the west and the picture makes it look small its massive
 
Back
Top Bottom