Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Deep inside you you know there is nothing there close to this. View attachment 1871060View attachment 1871062
Uko sure😁😁ya K.U Ni number 4 in Africa


images - 2021-07-28T132514.114.jpeg


images - 2021-07-28T132555.050.jpeg
 
Halafu mnakuja kusema hapa Tanzania ndege aziji,kq kwa siku ina route zaidi ya 5 kwenye TZ sidhani hata domestic route za kunyaland kq inafikishq hata route 3,mnaipiga vita ATCL kuja kwenu sasa mhimili wa kibiashara wa kq kwa sasa upo TZ

View attachment 1871464
Ona hio density to and from JKIA😁

Screenshot_20210728-042924.png



Alafu compare ha hii takataka yenu😱
Screenshot_20210728-133622.png
 
Wewe ndio fala yaani kufa watu 4 kwa 1,000,000 ndio useme ina madhara kuliko ufanisi? Mbona hutaji idadi ya maisha yaliyokuwa saved?

Huo ni ukima kama wa bwanako gwajima ,unaweza kufa kama una shida zinginezo nyingi kwa mwili especially damu ikiganda.

Kwamba wewe pimbi mmja una akili Sana kuliko Dunia yote wanaotumia hizi chanjo? Pumbavu sana ,leta ya kwako uliyogundua..

Na tunakoelekea itakuwa lazima just tuu kama ambavyo imekuwa Ulaya bila green card utaishia kulalamika kama vichanga vya tumbili.
Wewe ata kutumia akili tu imekuwa shuruba kwako ... unaweza nijibu kwanini sehem ambazo vaccine imetolewa kwa wingi bado kuna mambukizi makubwa ? Pili chanjo inayo tolewa ilidesigniwa kwwjili ya kirusi cha awali cha corona je ww pimbi unajua iyo vaccine ina efficience kiasi gani kwa kirusi hiki kipya...? Kitu unaweza ni kuleta ubishi wa kijinga ...kawapigie ujinga wako vilaza wenzio
 
GEZA ULOLE was a victim of fake certificates, he disappeared for a while in jf, so he has psychological pain leave him,
The covid vaccine you can't say exists when the virus is in a mutation revolution
Umeongea point yani kuna watu bado akili viazi...
 
Wewe ata kutumia akili tu imekuwa shuruba kwako ... unaweza nijibu kwanini sehem ambazo vaccine imetolewa kwa wingi bado kuna mambukizi makubwa ? Pili chanjo inayo tolewa ilidesigniwa kwwjili ya kirusi cha awali cha corona je ww pimbi unajua iyo vaccine ina efficience kiasi gani kwa kirusi hiki kipya...? Kitu unaweza ni kuleta ubishi wa kijinga ...kawapigie ujinga wako vilaza wenzio
Naweza kukujibu na itakuwa jibu langu la mwisho kuelimisha wapumbavu.

Kazi ya vaccine sio kutoa tiba bali ku boost Kinga na hakuna mahali wamesema ukipata chanjo huwezi pata tena maambukizi hasa kama una magonjwa mengineyo.Hii ni kwa chanjo zote.Alafu ukichukua uwiano wa waliochanjwa na ambao hawajachanjwa utakuta wasiochanjwa ndio wanaathirika zaidi.

Kwa hiyo kima kama wewe umelishwa propaganda za kipuuzi unakwenda tuu kama nyumbu.Aliyekwambia chanjo ni kwa ajili ya kirusi Cha awali ni nani? Unajua chanjo inaudwaje kwanza?

Kabla ya kubisha jitahidi kuwa na taarifa sahihi,chanjo ime consider mutation inayoweza fikia 100 yaani kirusi kujibadilisha hata mara 100 kinaweza kuwa contained na components za chanjo,hawakukurupuka kama wewe.

Leo Serikali imezindua rasmi kugawa chanjo na inapanga kuwafikia 60% ya watanzania ukiwemo wewe kima hapo.

Wewe na baadhi ya wajinga wenzio msipende kupotosha umma , Serikali haiwezi kuwa risk watu wake,ifanye hivyo Ili iwaje? Wataalamu wamejiridhisha kwa kutumia maabara za nje ya nchi na kwa hiyo chanjo ni salama kwa matumizi,efficiency yake soma kwa manufacturers website utaona by the way ni 98.99%,side effects ndogo ndogo ni kawaida kwa dawa zozote.
 





MY TAKE
Hongera sana mama, huu ndio uongozi tumepoteza ma-professor na ma-engineer wengi kwa kasumba za ajabu ajabu! Hatuwezi kuendelea kupoteza wataalam kiuzembe!


Kingine nafikiri Waziri wa Afya na Naibu wake wanapwaya!



Hili halikubaliki
E7X1cmjWUAISyEY


dah! acha uongo jamaa.. mtoto wa huyo prof nafahamiana nae na namba yake ninayo.. mzee wake wala hajafa kwa corona... you can validate your point through others lkn si kwa kumtumia huyo prof
 

Found a very exciting article from Trip suvvy about a Guide to Major Airports in Africa. I thought JNIA was advaced as their fellow citizen claimed kumbe wako na vitu basic tu za kawaida..(A Guide to Major Airports in Africa )

Tanzania: Julius Nyerere International Airport (DAR)​

Julius Nyerere International Airport

Ram Horizonte Betancourt/Wikimedia Commons
  • Location of the Airport: 8 miles southwest of Dar es Salaam
  • Pros: Great international connections
  • Cons: Basic, outdated facilities with limited shopping and dining
  • Getting to and From the Airport: Taxis are available, as are public buses, but tour operators and hotels usually offer private transfers.

Air Tanzania is hubbed here and flies across the African continent, as well as to India. International airlines that fly here include EgyptAir, Emirates, KLM, and Qatar, among others. The airport is a bit outdated and lacks extensive dining and shopping facilities, but it's a relatively modern space. Many international travelers will fly here before continuing onto Kilimanjaro (there's a small airport there).


VS

Kenya: Jomo Kenyatta International Airport (NBO)​

Jomo Kenyatta International Airport

EyesWideOpen / Contributor/Getty Images
  • Location of the Airport: 9 miles southeast of the capital city, Nairobi, in Embakasi
  • Pros: Major international routes
  • Cons: Some areas after security are lacking in facilities (bathrooms, restaurants, shopping)
  • Ground Transportation: Taxis are available all day and night, and many hotels offer shuttles.

Jomo Kenyatta International Airport is the largest and busiest airport in East Africa, serving 7.1 million passengers in 2018.9 Kenya Airways is hubbed at this airport, but numerous international airlines—including Air France, China Southern, Etihad, and Swiss—fly here from cities across Europe and Asia.
Give us the date of the article..i know this was before Terminal 3
 
Mkuu, katika Mambo ambayo ninauhakika nalo ni hili la chanjo, unaweza kukakataa lakini ninakuhakikishia 100% nipo sahihi, mwisho utakubaliana na mimi, katika eneo ambalo Magufuli alishindwa vibaya ni
1)Kuchagua mgombea mwenza wa urais
2)Jinsi alivyokabiliana na janga la Corona hapa Tanzania.

Kumbe hujui.

1. Kaka, chaguo la mgombea mwenza, Magufuli alimchagua Dr Hussein Mwinyi. Hili ndio lilikua CHAGUO la Magufuli.

Samia ni fitna ya Kikwete aliyekichomeka jina hili na kupigiwa kampein kwa kigezo cha "gender" ndio Mwinyi akapigwa chini.

Tafuta clip uone Magufuli akiliongelea mbeke ya CCM huko Dodoma.

2. Swala la Corona, Magufuli alikua sahihi sana hata top WHO wanakubaliana naye. Nenda South Africa ukajifunze athari za Covid safety measures za kukurupuka zilivyo athiri uchumi na kulimega taifa.

Hakuna chanjo ya Corona iliyo salama. Chanjo huchukua 10 or more years kujua side effects zake kwa short, mid na long term - hizi zote zimechukua miezi kadhaa tu na hata hao watengenezaji wanajua si salama na ndio maana wanashinikiza Serikali zote kusaign makuvaliano wakiogopa kushtakiwa kwa kitakachotokea baada ya chanjo.

Serikali nazo, hushurutisha watu kujaza form na kukubali certain conditions.

E6QV_P-XIAMfkUC.jpg

Hizi chanjo, nyingi zimepigwa narufuku kwenye nchi nyingi kwa sababu mbali mbali. Kama Johnson, Zeneka.

Thanks.
 
Geza bwana,
Ngoja nikwambie kitu hujui,
Mkitaka tuvunje rekodi ya dunia kama anavyotaka huyo mama yenu twende tufunge mitaa Kariakoo tupime kila anaeingia na kutoka,
I assure you huenda asitoke hata mtu mmoja akiwa Negative pale,
Pili the moment mnatangaziwaga mchukue Tahadhari, kirusi kinakuwaga kimeshasambaa mtaani kote kwenye Jamii na majumbani,
Sioni mantiki yako kusema 3rd wave ni hatari kuliko 2nd ama first,
Marafiki zangu wa Karibu ambao Majority ni Healthcare professionals yaani wote hata mimi n
wanaumwaga na kupona na kuumwa tena na kupona, na kuumwa tena dalili za Uviko-19 mara nyingi 2-3 weeks kabla ya nyie kuanza kusikia matangazo na tantalika zote wimbi za Covid-19 kuanza na Serikali yenu,
Cases zikianza kuwa reported kwenye Vituo vya Afya ndio nyie mnasanuliwa eti mchukue Tahadhari ( Tumia common sense tu )
Haya mambo ya Covid tuyaache tu ndio maana nimekunaliana na
Mkuu, I bet you are not an Epidemiologist, neither a medical personnel,
Huna uhakika na chochote na hata WHO hawana uhakika na chochote kwenye Uviko 19,
Ukiwa na Hekima utaelewa kuwa handling ya Covid-19 ya JPM na nchi nyingine all of them yielded same outcomes in terms of mortality,
and probably JPM's way is far better sababu haikuathiri maisha ya watu kiuchumi.
May be ulitaka afunge nchi na aendee mikopo ya mabilioni ya Dola kama uhuru na m7
I also end this discussion here, nashauri tujikite kwenye Battle.

Umetisha!

Umenena vyema sana.
 
Naweza kukujibu na itakuwa jibu langu la mwisho kuelimisha wapumbavu.

Kazi ya vaccine sio kutoa tiba bali ku boost Kinga na hakuna mahali wamesema ukipata chanjo huwezi pata tena maambukizi hasa kama una magonjwa mengineyo.Hii ni kwa chanjo zote.Alafu ukichukua uwiano wa waliochanjwa na ambao hawajachanjwa utakuta wasiochanjwa ndio wanaathirika zaidi.

Kwa hiyo kima kama wewe umelishwa propaganda za kipuuzi unakwenda tuu kama nyumbu.Aliyekwambia chanjo ni kwa ajili ya kirusi Cha awali ni nani? Unajua chanjo inaudwaje kwanza?

Kabla ya kubisha jitahidi kuwa na taarifa sahihi,chanjo ime consider mutation inayoweza fikia 100 yaani kirusi kujibadilisha hata mara 100 kinaweza kuwa contained na components za chanjo,hawakukurupuka kama wewe.

Leo Serikali imezindua rasmi kugawa chanjo na inapanga kuwafikia 60% ya watanzania ukiwemo wewe kima hapo.

Wewe na baadhi ya wajinga wenzio msipende kupotosha umma , Serikali haiwezi kuwa risk watu wake,ifanye hivyo Ili iwaje? Wataalamu wamejiridhisha kwa kutumia maabara za nje ya nchi na kwa hiyo chanjo ni salama kwa matumizi,efficiency yake soma kwa manufacturers website utaona by the way ni 98.99%,side effects ndogo ndogo ni kawaida kwa dawa zozote.
Ndio mana nilikwwmbia wewe ni takataka usie elewa ....yani ata mana ya vaccine nishida nikweli kwamba vaccine inaongeza kinga mwili lakin haiishi apo lengo ni kumkinga muhusika na gonjwa au magonjwa flani. Swali je hii vaccine inafanya kinacho kusudiwa ?
Najua ww ni hamnazo ila acha nikulize ..ivi kama vaccine ikovyema kwanini kule visiwa vya shelisheli ambako by the way watu walio kuwa vaccinated ni more tha 60% lakini bado rate ya mambukizi iko juu zaidi?...utoto wako peleka kwa wajinga wenzio
 
Naweza kukujibu na itakuwa jibu langu la mwisho kuelimisha wapumbavu.

Kazi ya vaccine sio kutoa tiba bali ku boost Kinga na hakuna mahali wamesema ukipata chanjo huwezi pata tena maambukizi hasa kama una magonjwa mengineyo.Hii ni kwa chanjo zote.Alafu ukichukua uwiano wa waliochanjwa na ambao hawajachanjwa utakuta wasiochanjwa ndio wanaathirika zaidi.

Kwa hiyo kima kama wewe umelishwa propaganda za kipuuzi unakwenda tuu kama nyumbu.Aliyekwambia chanjo ni kwa ajili ya kirusi Cha awali ni nani? Unajua chanjo inaudwaje kwanza?

Kabla ya kubisha jitahidi kuwa na taarifa sahihi,chanjo ime consider mutation inayoweza fikia 100 yaani kirusi kujibadilisha hata mara 100 kinaweza kuwa contained na components za chanjo,hawakukurupuka kama wewe.

Leo Serikali imezindua rasmi kugawa chanjo na inapanga kuwafikia 60% ya watanzania ukiwemo wewe kima hapo.

Wewe na baadhi ya wajinga wenzio msipende kupotosha umma , Serikali haiwezi kuwa risk watu wake,ifanye hivyo Ili iwaje? Wataalamu wamejiridhisha kwa kutumia maabara za nje ya nchi na kwa hiyo chanjo ni salama kwa matumizi,efficiency yake soma kwa manufacturers website utaona by the way ni 98.99%,side effects ndogo ndogo ni kawaida kwa dawa zozote.
Uliona wapi vaccine kwa virus ambae bado yupo kweny revolution
Screenshot_20210728-153517.jpg
Screenshot_20210728-153534.jpg
 
Back
Top Bottom