The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,529
Kwahiyo nyie kodi ya serikali mnayolipa inaenda wapi ikiwa miradi yote mkopoLike Sisi tutalipa kutumia tu... kujenga tumejengewa free.... nyinyi mumelipa kujenga na mtalipa kutumia inaitwa kuwa mjanja yaani capitalist mind





