Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Like Sisi tutalipa kutumia tu... kujenga tumejengewa free.... nyinyi mumelipa kujenga na mtalipa kutumia inaitwa kuwa mjanja yaani capitalist mind
Kwahiyo nyie kodi ya serikali mnayolipa inaenda wapi ikiwa miradi yote mkopo
 
Tag me the day Nairobi will have this concentration
JamiiForums-209308178.jpg
 
Elimu, ugatuzi, ukulima, militari, uvumbuzi,
Hivyo vyote hovyo, Wakenya mpk leo wapo wanaosoma chini ya mti, ukulima mna njaa mpk leo, jeshi dhaifu, uvumbuzi mmevumbua nn? Niambie kodi mnayolipa inaenda wapi mpk mshindwe kufinance hata km5 za flyover?
 
Baada ya kugundua tumewazidi kwenye concrete jungle wamekuja kivingine, wanakwambia wanatunza greenery ya Nairobi ila hyo greenery inapoharibiwa kwa ajili ya kujenga jengo wanashangilia
 
Baada ya kugundua tumewazidi kwenye concrete jungle wamekuja kivingine, wanakwambia wanatunza greenery ya Nairobi ila hyo greenery inapoharibiwa kwa ajili ya kujenga jengo wanashangilia
Nairobi we have green belts ambazo haziwezi guzwa for construction na bado we have very well managed buildings see that art piece something one can appreciate
EcWFgNIWkAAQcTH.jpg
 
Itawachukua miaka 500 mingine Nairobi kufikia Dar kwa concrete jungle na wakati huo huo Dar iwe imelala tu isijengwe
 
Back
Top Bottom