Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Amebakia kuweka vitoilet papers vya kukamatia mandezi

Kunyata anawaambia kawajengea 13k ndani ya miaka miwili na wenyewe wanakubali πŸ˜…πŸ˜…
Ziko kwa ground sisi hatuteseki kama nchi yenyu backward barabara vumbi tu
20210722_095315.jpg
road to my village very beautiful indeed
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Amebakia kuweka vitoilet papers vya kukamatia mandezi

Kunyata anawaambia kawajengea 13k ndani ya miaka miwili na wenyewe wanakubali πŸ˜…πŸ˜…
Umegive up ama bado unaezaendeleaπŸ€£πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚


2424280_IMG_20200611_130314 (1).jpg



Vs

Screenshot (16).png



Full Time is πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ€£πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

IMG_20210712_220639.jpg



Conclusion is πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡


 
Barabara za tarura ziko wapi??? Ww unapost barabara za tanroad na za tatura ziko wapi over 4000km au zimevunjwa 🀣🀣🀣🀣
Kujua barabara za lami za TARURA ni ngumu coz mfumo wao wa kutunza Takwimu wa DROMAS uko secured ni mpaka kutumia Taarifa zinginezo kama Readings za bajeti za Tamisemi ila kupata official kama Tanroads ni ngumu.
 
Back
Top Bottom