dopchinski
JF-Expert Member
- Mar 11, 2021
- 3,387
- 3,683
Dar city drone view tafuta picha yoyote ya cbd kenya iliyo pigwa na drone tuone kama utafikia hii hata robo Simba 254 @komora096 @Tony254
ya mombasa tu inatosha
Dar city drone view tafuta picha yoyote ya cbd kenya iliyo pigwa na drone tuone kama utafikia hii hata robo Simba 254 @komora096 @Tony254
Dar kijiji, soko kila pahali.
ya mombasa tu inatosha
Wazo zuri Sana mkuu 🤣🤣🤣Weka picha za makazi unapoishi wewe mwenyewe zen twende kwenye hizo estates wanazoishi wafanyabishara na wafanyakazi wenye kipato cha kati au sio[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jamaa inabd waache kununua ma second hand planes yatawamaliza, mm cwez kurogwa nipande dege la Kenya.Jamen, ndege nyingine chuma chakavu imeanguka [emoji23]
C umeona kakimbia, haijawahi kutokea mkenya amepost residentials za watu wa kawaida na haitakuja tokea believe me[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wazo zuri Sana mkuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tuanze kupost makazi yetu 🤣🤣🤣🤣🤣nimeipenda hili wazo❤️Weka picha za makazi unapoishi wewe mwenyewe zen twende kwenye hizo estates wanazoishi wafanyabishara na wafanyakazi wenye kipato cha kati au sio[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kenya makazi yanajengwa kwa estates, in well organized area, kuna mpangilio., zenyu ziko kiholela amuwezi ziita estates, ila ni estates, but confused ones, angalia hizo umeweka sasa ni upper class in dar., nyie wengine wengi wa kawaida na the so called middle class ni hapa 👇 👇 dogo.., watu hawawezi kumiliki magari hapa, wata park wapi, njia panya kwa wingi😂😂..,Weka picha za makazi unapoishi wewe mwenyewe zen twende kwenye hizo estates wanazoishi wafanyabishara na wafanyakazi wenye kipato cha kati au sio[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mji wa kishamba kweli.., this time round tumefumania Dar.., 😂 😂 😂 iko wazi CBD yao ni ndogo sana!, ukubwa wa dar ni makazi za watu wa kawaida uchwara.., huwa wanaweka picha ki upropaganda, wameficha ukweli wasio upenda, hizi migorofa wameweka humu mara mingi kwa angle tofauti, kwa karibu, wakificha haya makazi ya watu wa kawaida.., zoom out ujionee kwa karibu..,..,Very disorganized city, development inafuata lami. Mwingine akiogelea kwenye rooftop swimming pool mwingine anaoga ndani ya ndoo hapo chini yake.
View attachment 1862188
HUKU NDIO DAR HUKO KUNA SIFIWA NA MBONGO LALA FULANI HAPA...YAANI TOWN IMEJAAA SHANTYZVery disorganized city, development inafuata lami. Mwingine akiogelea kwenye rooftop swimming pool mwingine anaoga ndani ya ndoo hapo chini yake.
View attachment 1862188
hebu leteni drones shots za miji zenu zingine kavile iringa, mbeya, morogoro, etc. so we compare with this one of kericho, tuone mji gani noma zaidi
Kwani unaishi kijijini? Mimi hizo hapoKwnn tuanze na residential estates, kwnn tusianze na residential houses za wananchi wa kawaida zen tuje kwenye estates unasemaje? Mm naanza au sio [emoji3][emoji3]View attachment 1862104View attachment 1862105View attachment 1862106View attachment 1862107View attachment 1862108View attachment 1862109View attachment 1862110View attachment 1862111
Travel there ujionee mwenyewe, hawapendi ukweli, ila wanapenda kupiga kifua na bado hawajafika.., they are way below on average!HUKU NDIO DAR HUKO KUNA SIFIWA NA MBONGO LALA FULANI HAPA...YAANI TOWN IMEJAAA SHANTYZ
Hii ni ya miaka ngapi? am not seeing alot of stuff here..,View attachment 1862210
KENYA.....MPANGILIO MAALUM