Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bwahahaha!!umeleta upupu gani huo mazee, haya tueleze hyo ndio yard ya wapi hko maporini

Yani kitu tofauti kabisa aisee, narudia tena niletee ya dar km hii nitoke jf..

Naona umekimbia google kupata somo manamke mlikua hamjui kitu..

Enhee nijibu geuza na geuzia ni visaweView attachment 1859091
those r 15 rail tracks! I bet if Nairobi dry port has that number!
 
219142665_4399695303427763_2260360730105865164_n.jpg
 
Bwahahaha!!umeleta upupu gani huo mazee, haya tueleze hyo ndio yard ya wapi hko maporini

Yani kitu tofauti kabisa aisee, narudia tena niletee ya dar km hii nitoke jf..

Naona umekimbia google kupata somo manamke mlikua hamjui kitu..

Enhee nijibu geuza na geuzia ni visaweView attachment 1859091
Yard haikai katikati ya mji acha ushamba.
 
Kweli kama ufisadi na rushwa mko vizuri 🙂
Ufisadi tz upo sana tena unazidi kenya ni vile vyombo vyenu vya habari havina uhuru wa kutangaza... atakaye jaribu kufichua atakutana na kilicho mtoa tundulissu manyoya
 
ngoja uone mchezo unavyochezeka mr.old man

wakati treni yenu ikipiga trip mara moja huku ya Tz itakuwa imepiga trip zaidi ya tatu sijui hiyo revenue unayoizungumzia kwenye mwendo wa kobe unaipima vipi
Yaani mbona nyie bongo lalas hamnielewi ninapo sema mambo ya itakuwa achaneni nayo....tunataka mambo ambayo yameshakuwa tayari. Tazama hapa...sisi tunaunda barabara ya juu kwa juu ya kilomita 27 juu kwa juu na ma interchange kibao...lakini tangia ianze kuundwa tumecheza low profile...sahiii inapokaribia kuisha ndio tuna washwa kuitangaza...hivyo basi nanyi mmeongelea hiyo reli yenu amabayo mwaka nenda mwaka rudi haiishi kuundwa ....halafu nchi hamna stima ya kutosha kwa wana nchi wenyewe na mna jitwika mzigo wa reli ya stima ....hapa mimi nangoja kuona movie tu.....
 
Back
Top Bottom