Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Screenshot_2021-07-18-06-57-57-39.png
 
Oyaa wa TZ... ma kaka blazzzas..tazameni hapo juu.... .Bado mnapo ngoja hiyo reli yenu itakayo Isha sijui 2050...sisi wakati huu tuko kwenye harakati za kumalizia barabara za juu Kwa juu....Njooni kenya mshoot ma video za mziki zenu...si mnaimbanga vizuri tena aisee..
 
Bullet train iko Morocco pekee in Africa., 300km/hr., hiyo takataka yenu ni a mere SGR powered by electricity, with speed difference ya 20km na ya Kenya 40km ikizidi, which haifiki hiyo full speed at any particular time., Average maximum itakua just 100-120km/hr., Another "slow" train as the Chinese call them in China., and cheap. I doubt it will manage freight., Aibu kama ya Ethiopia loading, hiyo itakua ni ya dala dala tu😂
Sadist
 
Hamna mda na sisi kivipi wakati mwenzako kaleta habari ya tukio nchini Kenya tena by a Kenyan news channel hadi wewe mwenyewe ukacomment kuhusu habari yenyewe? How did you know about that story and how comes you follow it on a Kenyan news channel?
MTU atakunyima chakula lakin sio habari 🙂
Matukio yote East Africa lazima information ikotokeze kupitia kwa watu au sehemu yeyote ile
 
mjue nn.. ishu nyingine kuhusu SGR.. sisi hatutatumii hela nyingine kununua diesel kutoka nje kuendeshea trains mana zetu ni za umeme..tutatumia umeme wetu, lkn majiran wanatumia extra money kununua diesel... nashangaa sana tunaendelea kuargue na hawa watu kuhusu SGR
Kuna mtu alishawahi kuandika humu kuwa mizigo mingi ya bandari ya mombasa inaishia kenya

Huyo mtu yuko sahihi
 
Back
Top Bottom