Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
20F98919-78F2-48A7-92CB-290BC19AA6EF.jpeg
BAC01F8A-2647-492D-A87B-B51BB66183E4.jpeg
 
Ila wew bhana ukiambiwa SGR ya bongo ni EUROPEAN standard uelewe .. haya ngoja nikupitishe kidogo ujionee kwa ground.View attachment 1857671View attachment 1857672View attachment 1857673View attachment 1857674View attachment 1857675View attachment 1857677View attachment 1857678View attachment 1857680View attachment 1857682View attachment 1857683View attachment 1857684View attachment 1857686View attachment 1857687alaf kwenye kiswahili hatuna neno "sehemu za kujeuzia" ni "sehemu za kugeuzia" neno kugeuzia limetokana na neno GEUZA ambapo mzizi wake wa neno ni "GEUZ" unaweza kulinyumbua na kuunda maneno mengine kama Geuzia, Geuziana, Geuzo au pia unaweza kutumia aina zingine za uundaji wa maneno kama vile (affixation, reduplication, Compounding word formation n.k). kugeuzia limeundwa kwa kutumia njia ya uundaji ya maneno ya Uambishaji (affixation) ku-geuz-ia .. ku=priffix geuz=root ia=suffix
Bwahahaha!!umeleta upupu gani huo mazee, haya tueleze hyo ndio yard ya wapi hko maporini

Yani kitu tofauti kabisa aisee, narudia tena niletee ya dar km hii nitoke jf..

Naona umekimbia google kupata somo manamke mlikua hamjui kitu..

Enhee nijibu geuza na geuzia ni visawe
images.jpeg-39.jpg
 
achana na huyo chokoraa yaani kwa akili ya kawaida tu yaani amewahi kuona wapi reli ijengwe halafu ikose sehemu ya kupishana..

kama siyo chizi huyo basi atakuwa kipofu
Na wewe pia unaunga mkono ya kwamba geuza na geuzia ni maneno na yana maana sawa pumbavu kabisa
 
Back
Top Bottom