Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Am sure hata watanzania wenzako huwa wanakushangaa. Wacha kulazimisha watu fikra zako na ujinga. Hii hapa chini ni picha ya Posta na Kariakoo. Unaona hiyo barabara katikati upana wake inatosha kilometers tatu? Wewe ni mjinga sana kijana
View attachment 1855295

Yaani mtu anaweza akasimama posta na kurusha jiwe Kariokoo na likafika.. 😂 😂 😂 😂
1626502281418.png
 
Hii picha iko so clear, unavuka one compound, uko the next part., yaani westlands na upper Hill are even farther from Nairobi old CBD than Kariokoo is from Dar CBD.., umewaumbua., Dar CBD ndogo., alafu wanasema density, kumbe wamekusanya vitu vyote kwa wingi sehemu moja.., hakuna haja ya kuongeza maneno, picha zinajieleza tu kikamilifu..,
View attachment 1856637
View attachment 1856638
Kariakoo iko wapi apo ebu nioneshe
 
Hii picha iko so clear, unavuka one compound, uko the next part., yaani westlands na upper Hill are even farther from Nairobi old CBD than Kariokoo is from Dar CBD.., umewaumbua., Dar CBD ndogo., alafu wanasema density, kumbe wamekusanya vitu vyote kwa wingi sehemu moja.., hakuna haja ya kuongeza maneno, picha zinajieleza tu kikamilifu..,
View attachment 1856637
View attachment 1856638
Kariakoo haipo kwenye hizo pictures hapo stop lying
 
Sio eti zina pigwa haraka, What we do as kenyans is we take 80 percent of our time to plan and 20 percent to execute ..lakini nyinyi mnaplan kwa asilimia 20 na kufanya kazi kwa asilimia 80...ndio maana miradi yenu inachuku muda mrefu zaidi...yaani tangu sijui lini hamjamaliza reli yenu.... wakati sisi tushaanza kuitumia yetu miaka mitano tayari.
Reli yetu ni 1500km yenu 460km do the maths yourself
 
tzhaya maghorofa yenu yanakaa ya ki mtaa sana..... kwani hamkuwa na ujuzi wa kujenga majengo ya ki CBD
kama flats za estate hivi.., hizo kadhaa ni nyumba za waarabu na wahindi ndani ya CBD..,
 
Wooiiii, kumbe ndiyo maana Wakenya walikimbia walipoona tumeweka order ya EMU

Tony254 kuja uniambie kama kuna EMU inayofanana na bichwa la kondoo

Sasa tumemaliza ubishi kwamba Tz ndio itakuwa nchi ya kwanza EA kuwa na EMU + 3/4 ya nchi zote za Afrika View attachment 1856324

Wamesusa bro, sijui tufanyeje. Hata kwenye nyuzi zingine wamezinunia.

🤣🤣🤣
 
Leo ni mwendo wa vitasa tu, wanajifanya kuleta mada nyingine ili kupoza machungu, sasa tunawarudisha kwenye mada kuu kwa ss
image_downloader_1626505842152.jpg
 
Back
Top Bottom