Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Leo mmethibitisha kuwa Nairobi ipo na only two Dual carriageways.
Unadhani Nairobi ni mji wa barabara moja Kama dar?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚


University Way.


2588745_tapatalk_1580119521475.jpeg
 
Dar hakuna uptown, the whole city inakaa downtown. Riveroad Nairobi vibe everywhere, vibanda and old unmaintained houses side by side with glass towers. Nilichoka sana ile wakati nilikua huko. Zero zoning laws everywhere. Unatoka Kariakoo kama umeingia CBD na hata huwezi notice ju all the place inafanana tu.
Miji mingi mikubwa iko hivyo, dowtown na maeneo yanayoizunguka yanakuwa yameungana. Kama mgeni huwezi juwa downtown inaanzia wapi na kuishia wapi.

Nairobi ni kamji kadogo kalikojaza watu sehemu moja kama funza na kando ya mji kuna mapori na slums. Siyo kosa lako lakini, ni ushamba tuu unakusumbua.
 
Kam hizo barabara ziko outside Nairobi then hiyo inafaa ukuonyeshe development in Kenya haifanyiki Nairobi pekee like Tanzania where development iko dar pekee, infact other counties have better roads than entire Tanzania.

Leo nataka mtanzania yeyote ajitokeze tulinganishe Machakos County, Kiambu County and Kajiado County with any region in Tanzania.
Hii battle ni ya Dar versus Kunyaland nzima ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Pamoja na Dar kupambana na counties 5 Kunyaland nzima bado zinachezea kichapo cha mbwakoko
 
Nairobi GDP is $60B, Tanzania GDP is $60B.
Kunyaland gdp ni 90$b so 80% ya all economic activities zipo naipori-slums-everywhere nchi nzima ni jangwa lisilo na maana kwenye mchango wa gdp sio? ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Tukisema naipori ndio Kunyaland mnableed
 
Watu wa kabila la Igbo walia sana kwamba Kenya imeteka nyara mkubwa wao na kumhand over to Nigerian authorities. Kwenye hii demonstration huko London, kinachonichekesha ni jinsi huyu Mnigeria anasema Kenya ina huge embassy, huge embassy. Kwani embassy ya Nigeria huko London ni ndogo kasi gani?

 
Mzee kichwani mwako kuna ubongo au umejaza upepo. Nyie mliweka Mombasa road which is not dual carriageway.
The length of Dual carriageways in Nairobi is only 96km but in Dar more than 160km
Mombasa road has been dual carriage for many years!! since Moi's regime.., ama haujui maana ya dual carriage?.., lishamba ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
 
Wakuu kuweni makini na hawa wakunya

Hakikisheni kweli hizo barabara zao zipo naipori-slums-everywhere

Utafiti unaonesha barabara zote hizo 80% zipo outside naipori-slums-everywhere, ukikaa vizuri ukakagua utaona naipori ina dual carriageway isiozidi 20km tu

Mimi naona hawataki kabisa kuniquote sababu wanajua balaa langu sio la bara hili, jana nimewathibiti mpaka wakatoweka kabisa, wamesubiri nimelog off ndio wakarudi kunengua
tunawachora tuu,,wacha wajifurahishe
 
Watu wa kabila la Igbo walia sana kwamba Kenya imeteka nyara mkubwa wao na kumhand over to Nigerian authorities. Kwenye hii demonstration huko London, kinachonichekesha ni jinsi huyu Mnigeria anasema Kenya ina huge embassy, huge embassy. Kwani embassy ya Nigeria huko London ni ndogo kasi gani?


Yaani ninyi wakunya mna syndrome ya superlatives pronouns sana, huyo jamaa anasema huge and massive protest wewe kwenye akili yako ya kikenya umedaka huge and massive building ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

English pia ni tatizo sababu utafiti unasema ni wakenya mil 1.8 tu ndio wenye uwezo wa kuelewa na kuongea somehow ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Kam hizo barabara ziko outside Nairobi then hiyo inafaa ukuonyeshe development in Kenya haifanyiki Nairobi pekee like Tanzania where development iko dar pekee, infact other counties have better roads than entire Tanzania.

Leo nataka mtanzania yeyote ajitokeze tulinganishe Machakos County, Kiambu County and Kajiado County with any region in Tanzania.
Kuja pole pole bro., usifanye watu waihame uzi ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
 
Back
Top Bottom