Sasa compare Hawa na wale wenu wanafanana na chokoraa wa kawangware😂😂😂
#Team Kenya.
View attachment 1850998View attachment 1850999View attachment 1851000View attachment 1851002View attachment 1851003
Sasa compare Hawa na wale wenu wanafanana na chokoraa wa kawangware😂😂😂
#Team Kenya.
View attachment 1850998View attachment 1850999View attachment 1851000View attachment 1851002View attachment 1851003
Hakuna sport mtanzania anajua, I told them to focus on witchcraft cause huko maybe wanaezaget kamedal.😂😂Yani we are almost doubling the medal count of our 'closest' challengers Ethiopia at 45 medals against Kenya's 86!
Zile viwanja tunaambiwa ni modern kazi yao bado tu ni kuandaa mikutano ya sisiemu ama walishaanza kuwa serious na michezo?
Sasa compare hizo track suits za Kenya na hizi jackets za watchmen 👇👇😂View attachment 1851031View attachment 1851038View attachment 1851039View attachment 1851040View attachment 1851041View attachment 1851042View attachment 1851043View attachment 1851044View attachment 1851045View attachment 1851046View attachment 1851047View attachment 1851048View attachment 1851049View attachment 1851050View attachment 1851051
I have done simple arithmetic and realized that if you add all the medals of all the countries outside the top five, (if you start counting from Algeria downwards), their cumulative medal count bado haifikii ya KenyaTangu Olympic ianze mko tu na medals mbili, Sasa Nini inakudanganya ya mwaka huu mtapata hata participation certificate?😂😂👇👇
View attachment 1851025
Tracksuit za njaa, ya huyo dem kwanza ni oversize walai. 😂 😂 😂Sasa compare hizo track suits za Kenya na hizi jackets za watchmen 👇👇😂
View attachment 1851056
Eti jacket ya watchmen! 😂 😂 😂 Yani mtu anaenda Olympics na nguo yenyewe ishamnyang'anya confidence! 😂Sasa compare hizo track suits za Kenya na hizi jackets za watchmen 👇👇😂
View attachment 1851056
Amateurs!Sasa compare hizo track suits za Kenya na hizi jackets za watchmen 👇👇😂
View attachment 1851056
Which sport is Tanzania known for btw? At least Kenya is known for athletics, rugby and women's volleyball among othersWavivu hawataki kuinvest in sports, wao wako satsified na Simba na Yanga, na Gor hua imewaoa mbaya. 😄 Sports hua wako nje mbaya, probably the last kwa EAC.
Hata kwa kuangalia nyuso zao tu, huoni hata chembe ya matumaini kwenye hizo nyuso!Sasa compare hizo track suits za Kenya na hizi jackets za watchmen 👇👇😂
View attachment 1851056
Hakuna hata heri South Sudan washaanza kutengeneza jina kwa Basketball.Which sport is Tanzania known for btw? At least Kenya is known for athletics, rugby and women's volleyball among others
Sasa ikiwa ww ushatoa matokeo kabla ya mechi si ni judge au ??😂😂😂😂 tangu lini bogus kama ww ukawa na akili?? Au ww unaoneshwa yajayo??Olympic hakuna cha judge, Kila siku unaambiwa huna akili lakini usikii😂😂
Sisi tuna pesa na ndiyo maana michezo kama kukimbia kimbia hatuwezi ila tuna uwanja wa kisasa ku host big competition, nyie ni maskini wa kutupa licha ya wanambio wenu kufanya vizuri lkn mnashindwa kuwawekea mazingira mazuriYani we are almost doubling the medal count of our 'closest' challengers Ethiopia at 45 medals against Kenya's 86!
Zile viwanja tunaambiwa ni modern kazi yao bado tu ni kuandaa mikutano ya sisiemu ama walishaanza kuwa serious na michezo?

























Looks like some juakali brand kit😂!Sasa compare hizo track suits za Kenya na hizi jackets za watchmen 👇👇😂
View attachment 1851056
Hio simba na yanga inatengeneza revenue kuliko team zote za kenya combined na kama unabisha sema??🤣🤣Wavivu hawataki kuinvest in sports, wao wako satsified na Simba na Yanga, na Gor hua imewaoa mbaya. 😄 Sports hua wako nje mbaya, probably the last kwa EAC.
Designer wa hizi track suits anafaa atafutwe na apewe maviboko kadhaa before wanyongwe😂😂Hata kwa kuangalia nyuso zao tu, huoni hata chembe ya matumaini kwenye hizo nyuso!
Tuliza roho yako naona unawahka sana 😂😂 umeumia sana kuskia tanzania inashiriki olympic??Designer wa hizi track suits anafaa atafutwe na apewe maviboko kadhaa before wanyongwe😂😂
View attachment 1851094
Sio ile ya 90s sahau hio 😂😂👇👇👇Designer wa hizi track suits anafaa atafutwe na apewe maviboko kadhaa before wanyongwe😂😂
View attachment 1851094
Lakini bado tunawapiga kama burukenge. 😂 😂 😂Hio simba na yanga inatengeneza revenue kuliko team zote za kenya combined na kama unabisha sema??🤣🤣
nioneshe banda la choo ambalo gor mahia inatumia kama ofisi ukipata nitag nifunge acc 😂😂😂😂