Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Express way ya mkopo unavyodhani Tanzania ingekua na kipaumbele cha kutaka express way china itawanyima huo mkopo!
FYI..Hio siyo mkopo..ni investor ameamua kuijenga kama biashara yake..jiulize kwanini alichagua kenya akaacha nchi zengine..na hajalazimisha mtu yeyote kutumia hio barabara..kama huna pesa tumia barabara ya chini..usisahau pia kuna investor ameamua pia kujenga another expressway kutoka nairobi hadi nakuru...
 
FYI..Hio siyo mkopo..ni investor ameamua kuijenga kama biashara yake..jiulize kwanini alichagua kenya akaacha nchi zengine..na hajalazimisha mtu yeyote kutumia hio barabara..kama huna pesa tumia barabara ya chini..usisahau pia kuna investor ameamua pia kujenga another expressway kutoka nairobi hadi nakuru...
Sasa kwa akili yako TZ inashindwa kumcovince huyo invenstor aje kujenga,TZ hatuna malengo ya express way kwa sasa,mchina inapokuja swala la TZ uwa achomoki so usijidai kwa chochote huko kwenu under chinese ambacho TZ tukikitaka mchina atajenga tena kwa quality nzuri na nafuu kuliko hiyo ya kwenu
 
Express way ya mkopo unavyodhani Tanzania ingekua na kipaumbele cha kutaka express way china itawanyima huo mkopo!
Alafu mulipe aje na hamna a big number of middle class. Diamond anatengeneza pesa mingi kupitia Youtube Kenya than Tanzania. Kenya ikona a very strong growing middle class and our disposable income is higher.
 
FYI..Hio siyo mkopo..ni investor ameamua kuijenga kama biashara yake..jiulize kwanini alichagua kenya akaacha nchi zengine..na hajalazimisha mtu yeyote kutumia hio barabara..kama huna pesa tumia barabara ya chini..usisahau pia kuna investor ameamua pia kujenga another expressway kutoka nairobi hadi nakuru...
Mkumbushe hata yeye akija lazima alipie
 
Jamaa anatumia picha ambayo quality yake ipo chini ili kujifariji
Hapo ilikuwa bado mpya, angalia hii ya ss, na ndipo ukazaliwa huu uchafu hapo nimezungushia, ukiniletea picha safi yenye huu uchafu ndo nitaamini [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20210711-235941.jpg
 
Sasa kwa akili yako TZ inashindwa kumcovince huyo invenstor aje kujenga,TZ hatuna malengo ya express way kwa sasa,mchina inapokuja swala la TZ uwa achomoki so usijidai kwa chochote huko kwenu under chinese ambacho TZ tukikitaka mchina atajenga tena kwa quality nzuri na nafuu kuliko hiyo ya kwenu
Tataizo sio kum convince, swali ni kwamba yeye km investor na sehemu husika hela yake itarudi kweli..
 
FYI..Hio siyo mkopo..ni investor ameamua kuijenga kama biashara yake..jiulize kwanini alichagua kenya akaacha nchi zengine..na hajalazimisha mtu yeyote kutumia hio barabara..kama huna pesa tumia barabara ya chini..usisahau pia kuna investor ameamua pia kujenga another expressway kutoka nairobi hadi nakuru...
Kenya c ndio kuna vichaa wa kukubali 30yrs[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wewe ni kilaza ulioshindikana,kunyaland kuna middle class gani wa kuipita TZ,halafu kwa ushamba wenu na kupenda kujipendekeza sasa,milardi ayo ana viewers wengi kuliko diamond mnaejipendekeza kwake,so viewers wa milardi ayo ni middle class wa kibera pia?
 
Wewe ni kilaza ulioshindikana,kunyaland kuna middle class gani wa kuipita TZ,halafu kwa ushamba wenu na kupenda kujipendekeza sasa,milardi ayo ana viewers wengi kuliko diamond mnaejipendekeza kwake,so viewers wa milardi ayo ni middle class wa kibera pia?
Sa unataka kulia. Data sio yangu ni ya Youtube.
 
Mbona basi mkashindwa kujenga kigamboni city km nyie hamkatazqi loan na mchina
Kigamboni city tumeiweka pending,tuna mengi ya kufanya huko vijijini,tunabargain na mchina now kuondoa vipengele vya ovyo kwenye mkataba wa bandari ya bagamoyo(bartmore port)nyie endeleeni na express way miradi isiyo na tija huku vijijini huko watu wanakufa njaa na nairobi still kuna kipindu pindu mpaka hii leo
 
Kigamboni city tumeiweka pending,tuna mengi ya kufanya huko vijijini,tunabargain na mchina now kuondoa vipengele vya ovyo kwenye mkataba wa bandari ya bagamoyo(bartmore port)nyie endeleeni na express way miradi isiyo na tija huku vijijini huko watu wanakufa njaa na nairobi still kuna kipindu pindu mpaka hii leo
Hamna hela, nani kakwambia satelite cities sio mhimu katika majiji makubwa..
We unaijua impact yake au na wewe ni wale wale km hamna kibaya mkikipata kinakua kizuri sasa
 
Wewe ni kilaza ulioshindikana,kunyaland kuna middle class gani wa kuipita TZ,halafu kwa ushamba wenu na kupenda kujipendekeza sasa,milardi ayo ana viewers wengi kuliko diamond mnaejipendekeza kwake,so viewers wa milardi ayo ni middle class wa kibera pia?
Kenya ina middle class kubwa kuliko tz, hyo ni fact na wala haiwezi pingwa hata kw mizizi
 
Kenya c ndio kuna vichaa wa kukubali 30yrs[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wawekezaji wanatuhengea mpka barabara aisee[emoji1787][emoji1787]watu lazima walipie bana, huo ni uwekezaji km uwekezaji mwngine tu..

Tofauti hyu miaka thelathini anaachia kw upande wa pili dangote anamilki city ndani ya mda wa miaka 99..kweli watu wanaliwa jamani
 
Hehehehee mshaanza kuiogopa electric train, c mnasema mby nyinyi sasa habari za make-up na ubaya wapi na wapi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uliskia wapi nyani akipakwa make-up anakua mzuri[emoji23][emoji23]
Marehemu kawaongopea tena vibaya sana
 
Alafu mulipe aje na hamna a big number of middle class. Diamond anatengeneza pesa mingi kupitia Youtube Kenya than Tanzania. Kenya ikona a very strong growing middle class and our disposable income is higher.
Middle class wa kibera na kwenye bed sitters [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom