The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Noma sana aloo [emoji7][emoji7][emoji7][emoji1241][emoji117][emoji91]
Kwahiyo hii battle tumeshashinda [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyoooo amepuuzwa [emoji1787][emoji1787] yani kila mtu hana habari na battle yako.
Basi chagua wewe mana wakunya now mmekuwa waoga sana cz mlikuwa mnategemea battle ya universities tumewaacha midomo wazi, huu uzi umewafumbua macho sana.This thread has its standards, usiletee mada za kijiweni hapa. From now on ukija na battles za kipuuzi unakosa wachangiaji. Mwengine juzi ameanzisha battle ya sijui ya kupost mahindi [emoji1787][emoji1787]
Watu tupo busy na mambo mengine, jamaa bado ywa battle pekeake [emoji1787][emoji1787]Huyoooo amepuuzwa [emoji1787][emoji1787] yani kila mtu hana habari na battle yako.
Nambie engineerBasi chagua wewe mana wakunya now mmekuwa waoga sana cz mlikuwa mnategemea battle ya universities tumewaacha midomo wazi, huu uzi umewafumbua macho sana.
Mmekuwa waoga sana nowadays, kila siku mambo yanazidi kuwawia magumu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Watu tupo busy na mambo mengine, jamaa bado ywa battle pekeake [emoji1787][emoji1787]
Yani hawaamini mazee, kinara wao kaingia mitini mpaka sasaThis thread has its standards, usiletee mada za kijiweni hapa. From now on ukija na battles za kipuuzi unakosa wachangiaji. Mwengine juzi ameanzisha battle ya sijui ya kupost mahindi [emoji1787][emoji1787]
Labda mwalimu wa Ukabila!Maajabu ya dunia hii yapo Kenya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Imwangukie nani kama si ninyi kumlipa mchina
Uliweka nini?Nairobi ina vyuo sawia na vyuo vyote tanzania km nchi, jana niliweka hapa jamaa wakatimua mbio[emoji1787][emoji1787]
Kilaza mwenzako the best alijaribu kunengua lkn akateleza na kupiga chini, sai napata habari yupo mhumbili kiuno hakijakaa sehemu yake vziuri..
Watanzania wanamiliki nyumba zao wenyewe, hatulipii kodi kwa wasomali, wasudan na wachina kama ninyi, 99% ya wa kazi wa Nairobi wanaishi kwenye slums za kupanga, yaani hata slums na zenyewe mmepanga 😂😂😂😂Rea etstate ya tanzani 99% wamegawana wahindi na waarabu[emoji23][emoji23]
Hao huko kwenu ni matajiri sio?Maskini wakutupwa watoe wapi terminal kama hio.
Na watanzania wanamiliki asilimia ngapi? Mbona mmejisahau! 😂 😂
same time wanategemea chakula cha kuimport vitunguu, ndizi, mahindi, mchele kutoka kwa small scale farmers wa Tanzania. hapo nashindwa kukuelewa hapo wameadvance kuelekea positive au negative side in terms of crops production sWewe sema ukweli sio ku bit around the bush,ni hivi kwenye ubora wa kilimo,teknolojia nk hatuwezi kuwafikia Wakenya na tunatumia mbegu zao nyingi na kujifunza kuanzia kwao .
Wao wame venture kwenye plantation kitambo na hata small scall farmers wao wako advanced.
kuna siku nilipita saa sita usiku nikakuta wanamwaga zege kama mchana . nadhani wameongeza kasi ya kiutendaji maana kuna kipindi walikua doroKituo cha Mwendokasi kinachojengwa Ilala Boma ni kirefu wakuu. Nadhani ni zaidi ya mita 200.