Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

same time wanategemea chakula cha kuimport vitunguu, ndizi, mahindi, mchele kutoka kwa small scale farmers wa Tanzania. hapo nashindwa kukuelewa hapo wameadvance kuelekea positive au negative side in terms of crops production s
Huyo jamaa akili zake anazijua mwenyewe,humu hamna anayemquote,mpotezee tu
 
I believe Kenya kit is the best at the Olympics it's really outstanding especially the ladies kits
20210710_163119.jpg
 
Machinga complex ya Dar ipo vizuri zaidi.
Sio vizuri kila kitu kiwe ni mashindano. Machinga complex hata Sarit Center iliyojengwa miaka ya 70s ni bora kwake.

There's no way you can compare Two Rivers, the biggest mall in east and central Africa with Machinga Complex. Two Rivers is a city within a city where people work, live, shop and play. I don't know what Machinga offers

Two Rivers
images (1).jpeg
images (3).jpeg


Machinga Complex
images.jpeg
 
Watanzania wanamiliki nyumba zao wenyewe, hatulipii kodi kwa wasomali, wasudan na wachina kama ninyi, 99% ya wa kazi wa Nairobi wanaishi kwenye slums za kupanga, yaani hata slums na zenyewe mmepanga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wasomali wenyewe wanasemaje[emoji1787][emoji1787]
Manake naona umekasrika mapema kweli na bado mechi changa
 
Mmekuwa waoga sana nowadays, kila siku mambo yanazidi kuwawia magumu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naona bado unaendelea kujifariji[emoji1787][emoji1787]
Usijali utapoa, zile za jana sindano tu jamani usiwe hvo mzee
 
Back
Top Bottom