Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna wachawi wanatamani hii barabara ianguke😂😂

IMG_20210705_213210.jpg
 
Ethiopia is the 3rd largest economy behinds SA in sub Saharan Africa Ugua pole
Ingia google world bank gdp african countries latest report imetoka tar1 July 2021
😆😆😆😆😆 wapi.!?.. hakuna. yote iko consistent to 2020 report.
nimekwambia utupatie hio link please. ama screenshot.
google inaongea mambo ya 2020
 
Tunateleza kwenye barabara za lami hadi sehemu ambazo hawakuwahi kuota
Hehehe!!mbona unatuaminishia uongo jamani na wakati majuzi tu kuna mbunge wenu katembelea watu wake barabara imejaa tope kuruka

Alafu naona jibu lako nkm umesema hakunapole sana
 
Kenya upi!? Tanzania ipo mingi.
1. Tunawalisha ugali.
Sasa hivi tumepanga kuanza kuwauzia ugali uliopikwa kabisa badala ya mahindi na unga.
Hilo swali gumu kweli kw watz
Mwngine kasema mradi mkubwa lami, lami hku kwetu hata county gov't wanajenga
 
Ethiopia is the 3rd largest economy behinds SA in sub Saharan Africa Ugua pole
Ingia google world bank gdp african countries latest report imetoka tar1 July 2021
Let me ask you. What's the problem with Kenya being number three?are you feeling agitated and an easy that a country that neighbours is that top
 
Back
Top Bottom