Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa hiyo pesa sija nunua hiyo gari labda wanazitoa bure. Mleteeni mabasi ya Dar Coach ajionee wakati mimi nampatia dozi nyingine. Tunataka ujue made in TZ ni nini.
najua bado ila atleast wanajaribu...wapi made in tz car? lol! ama kweli nyani haoni kundule...kisha pengine nikuelimishe kidogo...gari hili ni low-cost car...hivyo haina mambo mengi...unaeza ukapata gari hii haija fika hata $10,000...ndio maana iko vile...
 
eti ushamba
emoji23.png
emoji23.png
!!! wewe hata una probox kweli? ama baiskeli? lol! yaani maskini wa kupindukia wa LDC ana akili za kuita gari hizi ambazo pesa zake hazitajiki ushamba...una kasoro akilini ww sio uwongo..akili punguani...kisha hili si jibu lako..ninamjibu mtu flani aliyeleta mikebe za tz na anajijua....sasa jipe shugli pumbavuu mkubwa ww...unangojewa kule Tandale na wenzako..
ha haa kweli wewe ni mpuunzi.......unakurupuka kuingia kwa hii thread wakati mchafu kuoga ni kijana lakini muonekano wako niwakizee umezeeka

kaa na mikenya wenzako uvute ugolo na feg kwa city garden smorking huku hauna cha maana haueleweki....
 
eti ushamba
emoji23.png
emoji23.png
!!! wewe hata una probox kweli? ama baiskeli? lol! yaani maskini wa kupindukia wa LDC ana akili za kuita gari hizi ambazo pesa zake hazitajiki ushamba...una kasoro akilini ww sio uwongo..akili punguani...kisha hili si jibu lako..ninamjibu mtu flani aliyeleta mikebe za tz na anajijua....sasa jipe shugli pumbavuu mkubwa ww...unangojewa kule Tandale na wenzako..
sema kiukweli una mambo yakike inabidi uwe mwali.....tukuowe.......maana umetapika tapika utadhani uharisho wa bata umepita

unaakili za kunguni aiseee
stupid kenyan
 
huna hoja wewe sio uwongo....plate no. ndio umeona tu...lol! leta supercars za kitz...plate number kaachie watoto kule wajadili....unless huna hoja...
acha kuwa na mapepo hayo mandinga tusha move huko......na tuliwararua....nafikiri wewe waishi kuzimu na haujui chochote kinacho happen...... pole sana mshamba wa mwaka
 
Issue ni kwamba how can you have expensive car na uandike number kwa mkono , hakuna computerize system za kutengeneza izo number

spensa_e
achana naye huyo jamaa ni chizi tena mwenye uchokoraa pale nairobi niachie mimi....
 
kuna oparesheni spesheli imeanzishwa ya wanajeshi wa kenya kule Boni forest... hio pia ilianza miaka 3 iliyopita? Google mambo bro...ignorance is very unattractive...
kuwa na akili yaani wewe hata haujielewi.....stupid

kwa hiyo siku zote izo ambazo jeshi lenu likiwa likipambana na kuuwawa havikuwa vita.....ila juzi
baada ya president wenu kutangaza ndiyo itakuwa vita?

stupid kenyan stupid jay456watt
 
Tanzanians will you debate soberly or resort to insults and heckling 24/7.The polite perception I had about you guys was a big fallacious scandal anyway. Now I know you

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwikwikwikwi, yaani wewe ndio mshamba wa kwanza duniani. Naona wivu unazidi kukuua. We made for Tanzanians na ziada tunauza nje. Kwikwikwikwi.
Ninakuonesha all about made in Tanzania unatakiwa uwe mpole nitakuletea na nguo zinazotengenezwa TZ tunauza kwenu. Kile kipindi cha kenye kimeshapitwa na wakati sasa hivi ni new generation kuwa mpole wakati nakudunga sindano.
yaani huyo ni mshamba kwelikweli
 
Jamaa wanaumia sana wakiona maendeleo yetu. Sijui kwa nini. Ngoja sasa hivi nawaonesha made in Tanzania tu mpaka wachanganyikiwe.
ujue nimegundua kuwa wakenya wengi hawaebdi nawakati ni wameganda yaaani fikra zao wanajua kama tanzania haina chochote.....

ila mwisho wa siku ndiyo vizuri bora adui yako akuone mjinga ili uumtafune kimya kimya....ndiyo hali iliyopo sasa
 
Back
Top Bottom