Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwenye viwanda vya Changaa Africa wanaongoza. Ogopa wamefungua kiwanda kingine cha beer Kisumu na beer za EABL hakunaga export. Hawa jamaa nishidaaaaa..
151216114255-mathare-foundation-drunkard-super-169.jpg
vodka-3.jpg
images-138.jpeg
images-136.jpeg
images-97.jpeg
..mulisaaa wewe sio mtu wa mchezo mchezo comrade....where did you get these pictures?.... kenya nimewavulia kofia aisee.. [/QUOTE]
 
Kwenye viwanda vya Changaa Africa wanaongoza. Ogopa wamefungua kiwanda kingine cha beer Kisumu na beer za EABL hakunaga export. Hawa jamaa nishidaaaaa..View attachment 545212 View attachment 545214 View attachment 545215 View attachment 545216 View attachment 545218 ..
mulisaaa wewe sio mtu wa mchezo mchezo comrade....where did you get these pictures?.... kenya nimewavulia kofia aisee..
[/QUOTE]
sasa huyo mzee wa iphone7 hapo kwenye mapira imekuwaje tena........kumbe zinazowafanyaga mbaya wakenya ni hizo chamukwale
 
ila kenya mnaongoza kwa viwanda vya kupika data...hilo hamna mpinzani EA.

data/statistics zenyu nyingi hazi-reflect maisha halisi ya wakenya.
huo ndiyo ukweli hawa majamaa ni maninja wakujicreate kwenye position nzuri...wakati wapo ovyo
 
Kwenye viwanda vya Changaa Africa wanaongoza. Ogopa wamefungua kiwanda kingine cha beer Kisumu na beer za EABL hakunaga export. Hawa jamaa nishidaaaaa..View attachment 545212 View attachment 545214 View attachment 545215 View attachment 545216 View attachment 545218 ..
mulisaaa wewe sio mtu wa mchezo mchezo comrade....where did you get these pictures?.... kenya nimewavulia kofia aisee..
[/QUOTE]
Heheheheheheheh wazee Wa chang'aa hahahah noma sana aisee .

huwezi kuwa shujaa bila kuwa muhuni
 
Huyu mkenya anatwambia kuwa hizi gari ziko made in Kenya. Kwa nini hamriziki na kidogo mlicho nacho??
Screenshot_2017-07-18-18-28-08.png
 
Back
Top Bottom