Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dar is ahead of nairobi in real estate by 3b usd source wolrd bank 🤣🤣

kataa sasa nikupe moto sasa hvi
Bongolala, real estate sio utajiri. Na hata nikikuuliza unionyeshe hizo real estates hakuna kitu utanionyesha zaidi ya dream houses. Nimekuambia unionyeshe mahali Dar imetajwa mbele ya Nairobi kwa utajiri. Mbona unakwepa swali?
 
mwanza oyee .. wapi kisumu
IMG_0274.jpg

 
MTV europe award sauti sol walibeba pia..
Fabio santolo hapa tunaongelea Award za kimataifa we km umeumwa pole


Alafu mbona kweli tu km industry ya mziki tz inaendeshwa na watu wachache, wakikutaka upae inawezekana lkn wakiamua kukuchunia mbona huendi mahali...
We utabaki tz tu
Narudia tena international awards tunazo kibao kama mchanga,usidhani kama mnatuweza,sie kimziki tupo mbali sana kitambo hata diamond hajatokea kulikuwepo akina TID,ray c,sir nature wote hao walikuwa wanachukua awards
 
mwanza oyee .. wapi kisumu
View attachment 1845594

Ukiangalia vizuri ni kama Museveni hataki jaluo a-ascend to power come 2022! Ni kama anatoa political statements flani kuanzia ku-neutralize the significance of Kisumu port revamp mpaka kuwa host wa DP Ruto! Watu wamejenga pipeline mpaka Kisumu only to find out GoU haiko-interested na kujenga fuel storage Port Bell!


 
hakuna jiran anaelewana na uhuru kunyatta

Kama sio juhudi za Kenya SS ingekuwa nchi kweli? We helped broker a peace deal in their country and gave asylum to many of her citizens. Leo ukitembea Nairobi ni jambo la kawaida sana kukutana na South Sudanese going about their businesses freely like Kenya is their home. Kama kuna watu wanafaa kushukuru Kenya ni hawa watu
 
Waweke facts kwa ground step by step uone vituko., idiots on steroids.,
Hiyo WB report wanatembeza hapa since 2017 ukiisoma utabaki tu ukicheka. Take a look at some sections of that report below
Screenshot_20210708-123034~2.png


Screenshot_20210708-122853~2.png


Screenshot_20210708-121238~2.png


Screenshot_20210708-121247~2.png


Screenshot_20210708-121314~2.png



Yani kiufupi ni kwamba taarifa inasema Dar's real estate is more valuable than Nairobi's but ukichambua taarifa yenyewe utagundua kwamba so little is said about Dar's real estate. Much of the article talks about Nairobi in a very positive way compared to Dar. Taarifa inasema ni vigumu hata kuuza office spaces in Dar compared to Nairobi. Pia, taarifa inasema rents have been falling in Dar even as Nairobi continues to show an upward trend. Yani ni taarifa ya kuchekesha sana!
 
Ukiangalia vizuri ni kama Museveni hataki jaluo a-ascend to power come 2022! Ni kama anatoa political statements flani kuanzia ku-neutralize the significance of Kisumu port revamp mpaka kuwa host wa DP Ruto! Watu wamejenga pipeline mpaka Kisumu only to find out GoU haiko-interested na kujenga fuel storage Port Bell!




kisumu port revamp is white elephant..
 
Correction again engineer fake. The correct English is: Are you an English teacher?

Learn how to make use of articles in sentence construction or better, just stick to Kiswahili.
But you don't own the language, wewe ni mjaluo bwana,jamaa kakuaibisha kwenye terminal sasa umebaki unahangaika
 
Back
Top Bottom