Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The best 007 nakusubiria..mzee wa ku expose mbona wachelewa bana, nina hamu ya wakuwajuza watu kuhusu hilo basha lako kw avatar..

Jamaa kumbe ywaumia bana kisa avatar, huamini km hyo niliyemueka kwnye avatar kamzidi mkeo kw kila kitu..pole sana usijali na wewe mkeo mhimize apake mikorogo huenda labda akafikia robo ya hyo mdada hapo
 
Dr.Agarwals Eye Hospital, Dar es salaam
1625664396520.png


1625664416983.png


1625664484265.png


1625664674522.png


1625664698378.png


1625664716254.png
 
The best 007 nakusubiria..mzee wa ku expose mbona wachelewa bana, nina hamu ya wakuwajuza watu kuhusu hilo basha lako kw avatar..

Jamaa kumbe ywaumia bana kisa avatar, huamini km hyo niliyemueka kwnye avatar kamzidi mkeo kw kila kitu..pole sana usijali na wewe mkeo mhimize apake mikorogo huenda labda akafikia robo ya hyo mdada hapo
Hahahahahaaa umeshangaa sn nilivyokwambia anapatikana kitunda huyu mal.aya, kama una connection naye muulize akujuze km ni kweli au namsingizia
 
Kwani wasafi ni wakenya,yaani ulishasahau hadi swali ulilouliza..hata hivyo Nancy,rich na monalisa si wcb
Wanakipi cha ajabu hao sasa, yani ndio ukawatajie team domo au konde hao watu..watakuona fala sana nakwambia.

Tz mziki ni wa watu flani bana
 
Hahahahahaaa umeshangaa sn nilivyokwambia anapatikana kitunda huyu mal.aya, kama una connection naye muulize akujuze km ni kweli au namsingizia
Utaumizwa sana na avatar yangu, tena bado kisha
Endelea kunifuatilia
 
Ila Ethiopia nao wana some classic infrastructures zinazobamba, starehe gharama tumia pesa nyingi kujenga kitu quality, Gotera intersection, Addis
Screenshot_20210707-145717.jpg
 
Huwezi ona vitu kama hivi Kunyaland! ipe hii picha muda ita-circulate humu under the tag Kunyaland!
Hawa mbwa wanapenda sana sifa za kipuuzi, ni laana waliyonayo, hivi vipicha unavyoona tunawastukia kwamba wameiba sio kwamba wanafanya kusudi bali ni media zao ndio ziko hivyo, ukiingia Google utaona vitu vingi wameweka mtandaoni kwamba ni vyao, uki Google picha ya infrastructure nyingi za EAC utakuta heading wameweka nchi yao yani mpk ukiingia ndani ndo utakuta kwamba sio ya Kenya, ni mbwa sana hawa wenye tabia za kichokochoko kupenda mali za watu.
 
Back
Top Bottom