Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Maneno yawekwe kando Sasa.

This is kilimani, an aerial view worth salivating for.

View attachment 1843779
2833263_11895693_segunfagbami2020012132_jpegcdecafd62d8e1c4099890d6343adc69f.jpeg


View attachment 1843783
Duh aisee mji km umepigwa bomu
 
Part ya westland ndani alag unasema still kilimani 🤣🤣🤣🤣 akili yako na ya mwenzako ziliishia kwneye matundu ya vyoo vya bar??
Nairobi ni ndogo sana ndio maana unaona picha moja imekusanya westland, CBd pamoja na upperhill 😆😆😆😆😆
Kama Dar hapa👇👇., CBD yoote ndani., Ushuzi ndio kubwa uwezi shika kwa picha moja.., but CBD., hamna kitu.., kazi yake tumemaliza.., Kiswahili sasa kitukuzwe tu.., yaani mmebakia na maneno tupu..,
2773845_IMG_20210514_140819_203.jpg
 
Wewe fukara wa EA upoo
Fukara ni jina lenyu la katikati..,😂😂😂., usijaribu kutugeuzia.., hiyo ni yenyu, ina sound tu kama Tanzania kabisaa., Mifukara., yaani nchi fukara, watu fukara😂😂😂
Kiswahili.., nchi ya malofa😂
 
Na huo udogo wake bado Nairobi ni two times wealthier than Dar😂😂.
Facts will kill them.., CBD Dar ni ndogo sana!!!., hiyo kwa sasa iko wazi., Sq km my foot!😂😂😂., imejazwa na unplanned village housing, eti middle class residentials., even worse!😂😂😂 Town ni ndogo sana and less developed kwa Nairobi CBDs..,
 
Facts will kill them.., CBD Dar ni ndogo sana!!!., hiyo kwa sasa iko wazi., Sq km my foot!., imejazwa na unplanned village housing, eti middle class residentials., even worse! Town ni ndogo sana and less developed kwa Nairobi CBDs..,
Mbn huwa unajichanganya? Mara useme Tz ni Dar tu mara useme imejazwa na unplanned settlement inferiority complex itakuua
 
Kama Diamond ni mpumbavu manaake anawakilisha wapumbavu EA
Huyo hatuwakilishi sisi, anawakilisha bongo, yaani Tanzania 😂😂😂., jamaa waki mu interview huwa namuonea haya., reasoning yake ni uchwara sana, kama wengi mlivyo jidhihirisha humu., talent yake inafunika hiyo aibu afadhali., lakini maisha yake na fikra zinamuumbua😂😂., afadhali angekua na hiyo maisha yake crooked kama vile celebrities kadhaa hukua, but strong in articulating issues, stable mind and rational reasoning. But Diamond ni fala, with all due respect for his talent 🙏.,
 
Wewe hunanga akili, so nyumba refu isionekane kwenye picha cause haipo Kilimani? Ama unapinga kuwa happy sio Kilimani?😂😂😂
Hiyo ndio kitu inasumbua huyu mtanganyika. Anafikiri Nairobi ni kama Dar that has linear type of development. Nairobi iko na maghorofa marefu kila kona, sio kama Dar ukipiga picha ni uswazi kila mahali
 
Hiyo ndio kitu inasumbua huyu mtanganyika. Anafikiri Nairobi ni kama Dar that has linear type of development. Nairobi iko na maghorofa marefu kila kona, sio kama Dar ukipiga picha ni uswazi kila mahali
Weka hayo maghorofa tuyaone alafu na mm niweke ya Dar ili tulinganishe
 
Back
Top Bottom