The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Jana ziliwekwa shule hapa zina school buses mpaka kuna mkunya akahisi tumeleta transport company 














Kati ya mimi na wewe nani mchawi? 😂 Nionyeshe pahali nimesema haiko Bongo! 🤣 🤣 🤣 It's a subsidiary, hiyo yenyu!ulvokua unasema haipo bongo manake nini?
uchawi uo!
Sijaona kitu ka hiyo, imepostiwa! 🤣 🤣 🤣Prove kwamba hapa ni Kenya ili niondoke jamii forums.View attachment 1840713
Tz ni subsidiary ya BB tu, many campuses ziko KE since kitambo sana! 😂 😂 😂Braeburn ipo pia Tz uyo mpuuzi amebadili picha.
Usiwe unavamia vamia tu bila kuuliza.Sijaona kitu ka hiyo, imepostiwa!![]()
![]()
![]()



Usiwe unabandika vipicha ili kujiliwaza! 🤣 🤣 🤣Usiwe unavamia vamia tu bila kuuliza.
Kwenye soka kwa ujumla tulishaacha kulinganisha na wameshakubali tuko mbali mnooNilikuwa na search channels kwenye TV yangu hapa...kuna channel mpya naiona hapa wanaonesha mpira ligi ya kenya.
Nikasema ngoja nijionee vituko:
Uwanja umeparara kinoma.
Kuna mchezaji ameanguka...kuinuka anainuka na vipande vya nyasi zilizokauka kichwani kwake
Yaani uwanja ni kama nyasi huwa zinapunguzwa kwa kutumia fyekeo!
Kwenye ubora wa viwanja vya mpira tumewaacha mbali sana hawa wakunya.
Kwenye utangazaji wa mpira tumewaacha mbali sana hawa wakunya.
Kwenye urushaji wa mpira live tumewaacha mbali sana hawa wakunya.
Kwenye quality tumewaacha mbali sana hawa wakunya.









Na tukiwa mechi na nyie tunawagaragaza mabao vibaya aisee! 🤣 🤣 🤣Nilikuwa na search channels kwenye TV yangu hapa...kuna channel mpya naiona hapa wanaonesha mpira ligi ya kenya.
Nikasema ngoja nijionee vituko:
Uwanja umeparara kinoma.
Kuna mchezaji ameanguka...kuinuka anainuka na vipande vya nyasi zilizokauka kichwani kwake
Yaani uwanja ni kama nyasi huwa zinapunguzwa kwa kutumia fyekeo!
Kwenye ubora wa viwanja vya mpira tumewaacha mbali sana hawa wakunya.
Kwenye utangazaji wa mpira tumewaacha mbali sana hawa wakunya.
Kwenye urushaji wa mpira live tumewaacha mbali sana hawa wakunya.
Kwenye quality tumewaacha mbali sana hawa wakunya.





Naona mnatiana moyoHuwa wanavizia mtu upost picha 10 zen ndio wao wanakuja na vipicha vi3 angle tofauti watavizungusha kila mmoja na angle yake lkn tukisema weka niweke wanaanza kulia lia![]()
endeleeni kujifariji lakini naona kiburi kimeisha

Yaani ni vituko kinoma.Kwenye soka kwa ujumla tulishaacha kulinganisha na wameshakubali tuko mbali mnoo![]()



Endelea kugandisha akili yako kwenye "past tense".Na tukiwa mechi na nyie tunawagaragaza mabao vibaya aisee!![]()
![]()
![]()


















😂 😂 😂 😂 😂 Jengeni viwanja, alafu tuje tuharibu, lakini najua this time mnaweza tufanyia kama mlivyowafanyia wa SA, mnasaidiwa na uchawi, kila mtu anatambua hilo. Mlileta mganga wa nje kuwatibu, Duh! 🙆🏾♂️ 😬 😂 🤣 🤣Endelea kugandisha akili yako kwenye "past tense".
Kiburi kwishaWanakwambia eti wanataka battle ya hotels lkn iwe ni Nairobi vs Dar only, ss kwani nani asiyejua Kenya ni Nairobi tu kdg Mombasa, ila cc kwetu hotel za 5 star zimejaa mpk Iringa kuna 5 star hotel![]()

vipi si ulisema hakuna hoteli kenya. Tatizo mnaogopa nairobi sanaKapanicSa hii wamebaki kupatiana maneno matamu wenyewe kwa wenyewe, kama vile mtu na demu wake Venus Star na msenge The best 007![]()













Endelea kuota.![]()
![]()
![]()
![]()
Jengeni viwanja, alafu tuje tuharibu, lakini najua this time mnaweza tufanyia kama mlivyowafanyia wa SA, mnasaidiwa na uchawi, kila mtu anatambua hilo. Mlileta mganga wa nje kuwatibu, Duh!
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()