Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Say that name again
E5L2jWkXEAAuAZ2.jpeg
 
The woman alitumia mbinu zake na sasa kajengewa, maish ni ujanja..km unateseka unatafuta mbinu za kiusanii na unatoboa tu..sai unavyojitapa hapo kajengewa nyumba na hela kapewa na ywaishi maisha mazuri kuliko shangazi yako
Endelea kuweweseka.
 
Sasa masikini atoe hela wapi ya kuishi maisha mazuri? Mtu kama ni masikini ni masikini. Stop sugarcoating things here. The number of people living below a dollar a day in Tanzania is much higher than Kenya na bado uko na nguvu ya Ku sugarcoat things here
Tena usisahau huwa tunawasaidia kule kukiwa na ukame ndio waweze kupata kula na kulisha mifugo yao during that period, sababu hawawezi na hawataki kutoka kule, it's their homeland, and pastrolism ndio main bizna yao. Huku kwetu hadi conservation sites and parks zinawapa boost Sana, from selling their traditional regalia to tourists na bado funds from the parks are used to uplift their communities. Park wardens and KWS officers, wao ndio huwa kipao mbele kule, coz they're sharp and know the terrain better, it's their home.
Now compare to those on Tz side, hawasaidiwi kitu, wako on their own, serikali apana tambua wao! 🤣 Mali yote ni ya serikali! 🤣 🤣 🤣
 
Kelele zote hizi nikajua kenya hakuna malnutrition kumbe ni mule mule

As of April 2021, 26.2 percent of children under five years suffered from chronic malnutrition in Kenya.

Huoni tunapunguza, nyie mnapanda daily ju ya kula mihogo + chai rangi, Kiepe + kitimoto, viazi + ndizi, alafu wali unawatia vitambi ka sio safura! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Hawa majamaa wana tabu sana kusema ukweli, jamaa wana haki ya kuwa wakulima manake haswa..
Jamaa hata hela ya unga hana, inabidi anachuma mboga shambani hku akizichemsha apate kula na ugali wa mhogo
Pesa atoe wapi, mpaka auze sasa, alafu karibia kila mtu ana shamba, so unauzia kiasi, zingine waste! Ndio utapia mlo unapanda huko, same msosi everyday!
 
Kenya Worse Than Zimbabwe in Extreme Poverty - World Bank Report.


Umaskini kama huu sijawahi kuuona Tanzania.


Kipimo kimetumika hapo ni ya less than $3 a day na ndio tuko 40%. Nyinyi mnapimwa kwa kiwango cha less than a dollar a day na ndio mko 28 million people which is almost 50% of your population. Sasa tumia akili kidogo na ujiulize hali ingekuwaje kama mngepimwa kwa kiwango cha less than $3 a day kama sisi
 
Back
Top Bottom