Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Arthi river - machakos turnoff dual carriage highway(21km). Wakati dar ikisubiri msaada wa morocco na brazil🤣
IMG_20210702_133613.jpg
IMG_20210702_133609.jpg
 
Kipimo kimetumika hapo ni ya less than $3 a day na ndio tuko 40%. Nyinyi mnapimwa kwa kiwango cha less than a dollar a day na ndio mko 28 million people which is almost 50% of your population. Sasa tumia akili kidogo na ujiulize hali ingekuwaje kama mngepimwa kwa kiwango cha less than $3 a day kama sisi
Hapa sio nairaland hapa ni Jamiiforums.
Humu mpo na watu wanaowafahamu kila kona.

Maneno mengi yasiyo na uhalisia vs Vitu kwa ground.

 
Back
Top Bottom