ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Asante kwa render 🤣🤣🤣🤣View attachment 1835235View attachment 1835237View attachment 1835240
katika jina la yesu tunaomba na kuamini... amen!View attachment 1835243View attachment 1835249
Asante kwa render 🤣🤣🤣🤣View attachment 1835235View attachment 1835237View attachment 1835240
katika jina la yesu tunaomba na kuamini... amen!View attachment 1835243View attachment 1835249
🤣🤣🤣🤣🤣wacha kuiba picha za Victoria falls! Fouteen falls look like this!
![]()
Oneni stadium hio 🤣🤣🤣🤣 wooohYani stadiums zimeisha Tanzania Sasa ni mwendo wa kurewind tu😂😂.
This is Narok.
View attachment 1835405
Ambayo mzungu hakuona dar ila akaona dunia nzima 🤣🤣🤣 yani ww uwe na akili kuliko alietengeza sattelite ambayo inakufanya ww utumie kwenye simu90% slumish ambayo wanakana, kwa standards zao uchwara hizo ni dream houses., middle class 😂 😂 😂 😂
Hzi ndio BRT zenu 🤣🤣🤣🤣wooooh
Hapo washabiki hawakai kwa nyasi kama huko Tanzania 😂Oneni stadium hio 🤣🤣🤣🤣 woooh
Uhehehe tazameni render na vitu kwa ground 🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka kwa sauti kubwa sana mpaka wameniuliza nacheka nn
Tazama render alaf kitu kwa ground 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣 yani render ni mbingu alaf kitu kwa ground ni ardhiHapo washabiki hawakai kwa nyasi kama huko Tanzania 😂
Mutaua hawa watu 😂😂😂😂View attachment 1835764View attachment 1835768View attachment 1835770View attachment 1835772View attachment 1835775View attachment 1835778Au nimekuonea.? mmmh Ila DAR tamu bhana. 😂😂😂
Hakuna siku Tanzania itajenga vitu kama hizo nchi nzima. Wakati in Tanzania spectators are seating on grass na kupigwa na just, Kenya watu wanakaa under a roof on seats.🤣🤣🤣🤣 yani render ni mbingu alaf kitu kwa ground ni ardhi
Bongolala, how much are you paid for being super negative about Kenya? How does this negative energy add value in your seemingly miserable life? Just yesterday, you denied a picture of an interchange in Nakuru saying that such an interchange can't exist in Kenya. Today, you did the same about Fourteen Falls in Thika saying those are images of Victoria Falls we've'stolen' on the Internet. And now this one! Don't you get tired?when did u host an international event in that stadium? Ama unataka kutuambia facilities hazi-deteriorate?
Tafuta stadium kama hii nje ya nairobi ukipata nitag 🤣🤣👇👇👇👇Hakuna siku Tanzania itajenga vitu kama hizo nchi nzima. Wakati in Tanzania spectators are seating on grass na kupigwa na just, Kenya watu wanakaa under a roof on seats.
Matusi hayasaidii 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 tunasubiri pain kwenye toll ya mchina alaf machungu yenu tutayaona twitter sio hapa, tusubiri muda useme kama SGR ilivoitikaWewe ni mpumbavu kweli, na huko ndio serikali yenyu fukara kwa sasa inakimbilia ili ku implement planned projects, tafadhali kuwa unasoma gazeti zenyu, yaani mimi am more informed about Tanzania kuliko watanzania wengi sana 😂 😂 😂 😂 , tunaomgoza mnafuata nyayo zetu.., sasa pia mmeanza kuhesabu wenye corona😂😂😂😂, idiots!
Angalau hapo kumejengeka magorofa na pia imepangika. Ukishamaliza huu wimbo wako ambao hauna ladha, njoo nikupe huondo wa Dar 100 meters from cbdUpperhill ndani, westland ndani, CBD ndani kuna kitu gani kimebaki 🤣🤣🤣🤣