Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ubaya hamfiki pahali, ndio maana licha ya kuwa mpira sio sana KE, bado tukawatia ndole kule Misri, all thanks to our Eng. Olunga...
Sisi mpira hatujui ila pesa tunayo na ndiyo maana tuna viwanja vingi vzr na ligi yenye mvuto ambayo inasaidia kuleta wataalamu kutufunza mpira zen tukawa untouchable.
 
Magoli hayabadilishwi, ila tunawatibu vichaa kwa kuwapa daawa ya facts! 🤣 🤣 🤣 🤣 👇 👇 👇
Screenshot_20210630_124633.jpg

👇 👇 👇
Screenshot_20210630_124712.jpg

Angalia mlivyo desperate, mnarusha chochote tu bila aibu, kudadadeki! 🤣 🤣 🤣 🤣
 
and please note tht slums in nairobi are confined in well defined designated places. the rest are either middle or high income estate settlements, (middle income house setting taking about 80% of nairobi residency)

in Dar Slum for instance, slumy sharkes, intermingle/mix with houses you would otherwise perceive as decent, and this phenomena runs throughtout the entire city, The UN describe Dar as having upto 70% of informal settlement
 
Twende kwa utaratibu unaofaa na co kwa style hii ya kuharibu mjadala, km unataka military unasema zen tunaenda kwenye military na sio hovyo hovyo tu unapost picha moja unajitangazia ushindi.

Wakenya ni waoga sana tukipanga tuweke battle ya kitu fulani wakishindwa wanaofuatana PM wanaambiana waharibu battle, so anatumwa mtu ku change mada, km hapa huyu jamaa katumwa aje kuharibu battle ya stadiums, tukienda kwenye battle ya military wakishindwa anatumwa mtu aweke kitu tofauti, huo ni ujinga na uoga.
 
Sisi mpira hatujui ila pesa tunayo na ndiyo maana tuna viwanja vingi vzr na ligi yenye mvuto ambayo inasaidia kuleta wataalamu kutufunza mpira zen tukawa untouchable.
Hiyo pesa hatuna haja nayo, as long as we are still breaking world records, hizo ndio pesa taamu sasa. Dunia nzima inajua hilo, upende usipende. Endeleeni kuwajengea vilaza viwanja, sisi tunaandika historia ya dunia isiyofutika kila kukicha! ✌️ 😂😂😂
 
Twende kwa utaratibu unaofaa na co kwa style hii ya kuharibu mjadala, km unataka military unasema zen tunaenda kwenye military na sio hovyo hovyo tu unapost picha moja unajitangazia ushindi.

Wakenya ni waoga sana tukipanga tuweke battle ya kitu fulani wakishindwa wanaofuatana PM wanaambiana waharibu battle, so anatumwa mtu ku change mada, km hapa huyu jamaa katumwa aje kuharibu battle ya stadiums, tukienda kwenye battle ya military wakishindwa anatumwa mtu aweke kitu tofauti, huo ni ujinga na uoga.
Usilie wewe kidume! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Hiyo pesa hatuna haja nayo, as long as we are still breaking world records, hizo ndio pesa taamu sasa. Dunia nzima inajua hilo, upende usipende. Endeleeni kuwajengea vilaza viwanja, sisi tunaandika historia ya dunia isiyofutika kila kukicha!
So mmekubali kwamba kwenye battle ya stadiums msiguse au sio
 
Back
Top Bottom