Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ntakutafuta unifunze uchawi, sawa?
JamiiForums997966465.jpg
 
Hakuna chochote hapo mzee anajaribu kuweka mipicha mingi hamna chochote mle. Ni transportation vehicles hizo.
Wewe mwenyewe zuzu, kila kitu kwako ni 'transportation vehicle'... Hebu usinichekeshe! 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣
 
Na Helicopters nyingi anazopost tayari zilishadondoka zimebaki skrepa.
Hamna kitu nyie, vyuma vyote vyenyu vinashika kutu yard, alafu kumbuka hakuna spare, most of your gear are not produced anymore, watu wali upgrade, labda mtoe special order ambayo ni hela yenyu. Mchina ni hatari! 🀣 🀣 🀣 🀣
 
Hamna kitu nyie, vyuma vyote vyenyu vinashika kutu yard, alafu kumbuka hakuna spare, most of your gear are not produced anymore, watu wali upgrade, labda mtoe special order ambayo ni hela yenyu. Mchina ni hatari!
Unalia utadhani mimi ndio nimefanya jeshi lenu liwe dhaifu.
 
naona ninyi mnatilia sana maanani bus stations πŸ€”πŸ€”. wakati sisi tunatilia maanani international airtports, sgr stations na international ports...
kwa mfano, tuna int'l airports ka 5!. (mombasa, jkia, kisumu, eldoret, isiolo)..
nyinyi 2 tu! (KIA na nyerere...)
Unakichaa sana Mzee. Acha kujifungia kibera.
 
Unalia utadhani mimi ndio nimefanya jeshi lenu liwe dhaifu.
Ati dhaifu, wanaume wanapiga ngoma nzito nzito, nyie shindaneni na wavuta bhage! 🀣 🀣 🀣 🀣 Mnatoa hadi vitambi, hamna zoezi? πŸ˜‚
Tznavy ya vitambi πŸ‘‡ 😁😁😁
1024px-US_Navy_110411-F-MN146-074_Petty_Officer_1st_Class_Albert_Perret,_assigned_to_Combined_...jpg
 
Hazitumii diesel.hii dunia inatakiwa kwenda kutumia nishati rafiki Kwa mazingira.mambo ya diesel ishapitwa na wakati.huwezi kuona nchi inajenga treni za diesel Karne hii ukiacha corrupted countries kama Kenya.
Kwn huo umeme utaendeshwa na nini mpka uje utumike kw hzo "treni zenu za kisasa mnazojenga"
 
Back
Top Bottom