Tweet uliyo share humu, inaonesha aliyepost hiyo tweet akishangaa chopa ya M7 imefata nini kenya!
Na wewe ukaamini kuwa hiyo chopa hapo ipo Uganda na ndio maana ukashare humu.
Wakati hiyo chopa ipo Uganda na hiyo picha ilipigwa tarehe 5 june yaani wiki karibu tatu zilizopita.
Mnapenda fake news kuliko kupambana na njaa inayowatandika kila mwaka.
Cut the crap,Mulibakwa na waasi congo na alshabab mtwara,simple and clear to the point!Mwanajeshi kufa vitani ni kawaida.ila wanajeshi kubakwa kama wa Kenya sio jambo la kawaida.hao wa Mtwara walivamia kijiji usiku uliza kilichowakuta mpaka leo hawana hamu ya kurudi Tanzania.congo jeshi la Tanzania ni kati ya jeshi lililofanya vizuri kazi yake mpaka tukawaondoka k 23.

