Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,919
- 103,791
Wewe bhana! 😂 😂 😂Kwanza hzo sidhani km zitanikula hata 20k mazee, alafu fundi unachukua wanyaji pombe za asili tu mwisho wa siku unapata dream house yako in dar![]()
Nilidhani ni generator za bakhresa, kumbe ni gari moshi... 🤷🏾♂️😬🤣🤣🤣🤣🤣Lazma cheki inavohara moshi 🤣👇👇 unaeza sema rocket inapaaView attachment 1816482
Hata mimi naona! 💉💉💉Fisiemu ishaanza mashambulizi? 😂 😂 😂 😂 😂Yani hawa jamaa wanaumia usione hvi ukienda twitter utawaonea huruma wanalia huko mpaka wanahara 🤣🤣🤣🤣🤣
Case closed


At the moment, Nairobi has more 20+ buildings than the rest of Eastern Africa combined.Hiyo ni escada apartment ambayo inajengwa na canaan developers na kwa sasa iko floor ya twentyView attachment 1816376
Sent from my LAVA_R1 using JamiiForums mobile app
Haya sasa ni matumizi mabaya ya nyegeWanaishi wale top officers na wale wenzetu kwangu pakavu wanaishi wapi ukipata nitag
View attachment 1816459View attachment 1816460
Top officers, hahahaha... 💉💉💉💉Pap! Askari wa ngazi ya chini hao, wale wakubwa wengi wao tayari wanamajumba tangu kitambo hela ipo. 😂Wanaishi wale top officers na wale wenzetu kwangu pakavu wanaishi wapi ukipata nitag 🤣🤣🤣👇👇👇👇
View attachment 1816459View attachment 1816460
Wale investors anaopiga nao kelele hapa kenya police n mmoja wapoTop officers, hahahaha...Pap! Askari wa ngazi ya chini hao, wale wakubwa wengi wao tayari wanamajumba tangu kitambo hela ipo.
View attachment 1816520
View attachment 1816521
Na hapo bado kuna sacco anakula hela ya investment bado kila mwezi, kando na ya mshahara
View attachment 1816524
View attachment 1816526


Tukiwaletea comment za watanzania hiaga mnazikataa na kuwaita chademawalioko humu kama vile wapo mbinguni.. wa twitter sasa ndo wako dunian kenya

ukweli kwenu mchungu sana walaiTunajua hujala, vipi una mpesa nkutumie ukale??? 😂 😂 😂 😂Middle class wa kwenye mitandao!wakenya mna dhiki mlo m1 kwa siku shida
Hawapendi ukweli ila tutawapa tu, hakuna kufichana hapa! 🤣 Hao hapo chini wanaitwa 'frogmen' kule Bongo, sasa kazi yao ni kuchota na kusafisha sewage systems na vyoo vikijaa, yaani mimavi mavi ile, asikwambie mtu kitu. 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Tukiwaletea comment za watanzania hiaga mnazikataa na kuwaita chademaukweli kwenu mchungu sana walai
Unaumwa weweAt the moment, Nairobi has more 20+ buildings than the rest of Eastern Africa combined.






























