Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,539
- 12,943
Jibu maswali kwanza, wacha kukimbia! 🤣 🤣 🤣 👆 👆Sasa mbona unalia? 😁😁😁😁
Jibu maswali kwanza, wacha kukimbia! 🤣 🤣 🤣 👆 👆Sasa mbona unalia? 😁😁😁😁
And you stop Ujamaa system😆Who want to join with kunyans?,stop tribalism, selfishness and corruption then we can think about union.
We tayari ni mjinga, km tayari ushajiaminishia mtu kuongea lugha ambayo ilitumika shuleni kutoka la kwanza mpka chuo kwako ni kujitapa..km sio wivu ni nini huo, ama ndio ile tunaita unafiki wa viwangoUsiniambukize ujinga.


KDF hakuna commandosYaani makomando wa KDF baada ya kuvamiwa wakaona isiwe kesi ngonja tule kona vichakani,wakawaacha wamarekani wanapambana peke yao.. Aisee ndo maana sishangai kuona makomando wa KDF wakidondoka na maparashuti kama maparachichi yaliyokwiva juu ya mti
Yaani niwaonee wivu watu wanaoboronga English pamoja na accent chafu.We tayari ni mjinga, km tayari ushajiaminishia mtu kuongea lugha ambayo ilitumika shuleni kutoka la kwanza mpka chuo kwako ni kujitapa..km sio wivu ni nini huo, ama ndio ile tunaita unafiki wa viwango
Wakenya kingereza ni official language, haiwezekani mtu miaka yote ufunze kw lugha flanu alafu ushindwe kukiongea
Majamaa wapo nyuma sana walaiMambo mageni kwenyu, wakati KE tangu 2000 tunatumia mfumo wa pre-paid kuanzia stima hadi maji.![]()
![]()
![]()
Tanzania![]()
View attachment 1807037
V/S KENYA![]()
View attachment 1807038
View attachment 1807039
View attachment 1807040
View attachment 1807041
View attachment 1807042
View attachment 1807043
View attachment 1807044
Pre-paid meter card![]()
View attachment 1807045
View attachment 1807049
Mbona umekasirika mzeeEti 2000
Private project for his few people ndio unasema ni mradi wa Kenya nzima?
Tena mradi wa 2018 unasema wa 2000hata Mpesa bado haijulikani itakua lini


Kwa hiyo hao waliodondoka na kuvunjika kiuno wakati wakishuka na parashuti ni akina nani?KDF hakuna commandos
18 lanes
Mwambie pia na Ile Wine ya Muratina ya USA,yenye inawapeleka USA wazimu🔥🇰🇪🔥😏Nachezaga 'award winning winery's'... all the way from KE, yaani one brand matata. Chuki yako peleka Baghdad! 🤣 🤣 🤣
Leleshwa winery, which is named after a common tree in the vicinity, continued to grow and now prides itself as the 2015 winner of Michelangelo Wines and Spirits best white wine award. It is also the only winery between North of Johannesburg and South of Sicily with a female winemaker.
Sasa wewe ni nini unafanya!?
Ni paratroopers, sio komando wale wenyu feki... Hilo jina commando mlidanganywa na nani wakati vigezo bado? Bado sana! 🤣 🤣 🤣Kwa hiyo hao waliodondoka na kuvunjika kiuno wakati wakishuka na parashuti ni akina nani?
😬😬😬🤣Mwambie pia na Ile Wine ya Muratina ya USA,yenye inawapeleka USA wazimu🔥🇰🇪🔥😏
Accent yetu ni unique ndio maana haikutoki wewe kuiponda kila wakati sababu unaishobokea tunajua! 🤣 🤣 🤣 🤣 Alafu wacha Zimbabwe, hata UG wana kizungu smart na bado wana lugha zao za mama. Sasa unaona, shule muhimu mkuu! 🤣 🤣 🤣Yaani niwaonee wivu watu wanaoboronga English pamoja na accent chafu.
Kuwa na adabu.
Zimbabwe wana kingereza safii kabisa.
Kinachokuja Kenya kitawazinguaBRT phase two 🇹🇿🇹🇿👇👇👇
Wengine bado wana ndoto vichwani mwao wakijua BRT ni sawa na kula githeri🤣🤣
View attachment 1807170View attachment 1807171View attachment 1807173View attachment 1807175View attachment 1807176
Kudondoka ni nn?Kwa hiyo hao waliodondoka na kuvunjika kiuno wakati wakishuka na parashuti ni akina nani?
Umebadili gear hewani, mbona tena mzee..we si ilikua hutaki watu wajue lugha inayotumika katika utoaji wa elimu yetuYaani niwaonee wivu watu wanaoboronga English pamoja na accent chafu.
Kuwa na adabu.
Zimbabwe wana kingereza safii kabisa.

