Fabio santolo
JF-Expert Member
- May 21, 2021
- 321
- 241
Hujui maana ya kudondoka???...hahahaa ulishawahi kuona avocado iki fall down baada ya kuiva juu ya mti!??..huko ndo kudondoka yaani tiiiii kutoka juu ya mti hadi chini..kwa hiyo makomando wenyu wamedondoka kama avocado au embe iliyoiva toka juu ya mtiKudondoka ni nn?





