ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Nyoosha maneno mbona huelewekiUchumi wa kenya ni karibu maradufu wa Tz.
😀😀😀😀😀😀😀😀
Nyoosha maneno mbona huelewekiUchumi wa kenya ni karibu maradufu wa Tz.
mmmmh wewe Lewis wewe achana na uhenga yani unajivunia kujua kingereza huo ni ukoloni akilini mwako mara mia mtanzania anaejua kiswahili cha kwao sio we utakuta wangapi hapo kwenu hawajui kiingereza na bado kiswahili hawajui yani mbaya zaidi kunawengine hata kilugha cha nyumbani hawajui yet unajisifu ni sawa n kusema (dah huyu mkoloni anajua kuniadhibu hadi raha)acha ujinga kiswahi ni lugha ya pili kuzungumzwa africa ikitanguliwa na arabic so you ga to wake up bro .wakenya buanaaaaaaa hamuipeeeeeeendi Tanzania ila ndo ivo kwa raha zeeeetu twala ubuyu sie ama waonaje weye .ahahahahahahahaha dah bwana weeewwBoaz Otieno
Wa TZ kujeni Kenya tuwafunze Kiingereza, Kiswahili hamna mahali mutaenda nayo kote Duniani, Tanzanians plz come to Kenya we teach you English, Kiswahili is only 4 Country language which can't be used internationally, Your President John Pombe Magufili must put it into law don't be adisgrace with your Kiswahili comments here.
Like · 16 · Reply · Report ·
Yesterday at 21:49
Eric Asewe replied · 83 replies
Prince Martin
Wayne, We as Kenyans will comment on behalf Of The Tanzanian's, those folks speak another "thing" you can never understand. A language which we don't know it's origin.
Like · 56 · Reply · Report ·
Yesterday at 22:13
Christine Bernard replied · 71 replies
eti hawatupeeeendi jamani nyie mi wakenya nawapendaaa afu si ndo babaenu kila kona kwenye burudani,michezo maujanja pale kati lugha pendwa na hadhimu ya kiswahili,umoja na mshikamano,na sasa ni katika maendeleo nabadoJamaa huipendi Tz ehhe![]()
hayo sio maneno yangu bro. ila mutaongeaje Kiswahili kwa fb page ya Rooney?mmmmh wewe Lewis wewe achana na uhenga yani unajivunia kujua kingereza huo ni ukoloni akilini mwako mara mia mtanzania anaejua kiswahili cha kwao sio we utakuta wangapi hapo kwenu hawajui kiingereza na bado kiswahili hawajui yani mbaya zaidi kunawengine hata kilugha cha nyumbani hawajui yet unajisifu ni sawa n kusema (dah huyu mkoloni anajua kuniadhibu hadi raha)acha ujinga kiswahi ni lugha ya pili kuzungumzwa africa ikitanguliwa na arabic so you ga to wake up bro .wakenya buanaaaaaaa hamuipeeeeeeendi Tanzania ila ndo ivo kwa raha zeeeetu twala ubuyu sie ama waonaje weye .ahahahahahahahaha dah bwana weeeww
Sent from my itel_it1503 using JamiiForums mobile app
eti hawatupeeeendi jamani nyie mi wakenya nawapendaaa afu si ndo babaenu kila kona kwenye burudani,michezo maujanja pale kati lugha pendwa na hadhimu ya kiswahili,umoja na mshikamano,na sasa ni katika maendeleo nabado
Sent from my itel_it1503 using JamiiForums mobile app
Ndio lugha yetu we ulitaka tuongee nn na kuna haja gani yakueka language translator..itakua haina maana sasa...hayo sio maneno yangu bro. ila mutaongeaje Kiswahili kwa fb page ya Rooney?
duh!
sasa kisha unatarajia Rooney achukue time yake ku translate kila comment ya Kiswahili hapo?Ndio lugha yetu we ulitaka tuongee nn na kuna haja gani yakueka language translator..itakua haina maana sasa...
We acha ushamba siku hizi mitandao ya kijamii ukiandika lugha tofaut na english kwa pembeni wanakuletea translate....sasa kisha unatarajia Rooney achukue time yake ku translate kila comment ya Kiswahili hapo?
kuandika kiswahili kwenye page ya Rooney tayali unapata usemi usemao JASILI HAACHI ASILI NA MKATAA KWAO MTUMWA .NAKIPENDA SNA KISWAHILI NAIPENDA SANA NCHI YANGU TANZANIA KWERI NIYAKIPEKEEEEEEEEEE.hayo sio maneno yangu bro. ila mutaongeaje Kiswahili kwa fb page ya Rooney?
duh!
hamna kaka El matador kwanza asante kwakukubari vingine make hadi kuchomoa iki kimoja inamana ndo hujakubariana nacha au hujakielewa ngoja nkueleweshe sasa sisi tulikuwa chini na sasa tunapanda katika nafasi za fifa tumepanda juu na sio ivo tu hata hao wakina rooney kuletwa kwetu na sport pesa kucheza tayali.ni credit we unadhani ni mataifa mangapi yameifaham zaid inchi yangu pendwa au ni watu wangapi wameuona wanja bora zaidi afrika mashariki.ahahahahahahahahahahahahah afu albino killings ni sawa na tu na halo ilio kuwako kenya ya yule muungu wenu na sasa hatuko ivo tena tulishaacha sijui nyie vp na ukabira ulishaisha huko kaka???mchezo wa kuwinda albino maybe.
You are right its 7.5.No it has not been expanded yet as i know ..the expansion was to start this year and take it to 12million
huo sio ujinga bwana haya ni moja ya mambo ambayo tushaanza kuachana nayo we hujaskia skuiz tuna hata blogs zetu zinazo toa orodha za majina ya kiswahili kama Tausi,maua,upendo,sikitu ,bhoke,asali,pendo,nk.na hata ya kilugha kama lusekelo,nk kwahiyo hii ni alama tosha kwamba colonialism haina nafasi kwa mtanzania labda hapo kwenu make mmmmh kila kitu mzungu hayaujinga ni kujifanya hupendi English na unajiita sijui
Sophie John
William Grace
Rose Jane
wabongo jameni....hahaha
mwambie bro make kujitia wanajua kingeleza na kujisifu kuwa hodari sana katika hilo akati lugha mama zao hawazijui kingeleza chenyewe cha kijaluo yani hovyo kuanzia accent na kila kitu basi jitume ujivunie hats kiswahili ni chetu soteWe acha ushamba siku hizi mitandao ya kijamii ukiandika lugha tofaut na english kwa pembeni wanakuletea translate....
hata mchina ataandika kichina kila mtu...inamaana wewe mother tongue yako ni english????😀😀😀😀😀😀
Munapenda uzungua wakati mwafrika
yep. English is my no. 1 language! Followed by Swahili and DeutschWe acha ushamba siku hizi mitandao ya kijamii ukiandika lugha tofaut na english kwa pembeni wanakuletea translate....
hata mchina ataandika kichina kila mtu...inamaana wewe mother tongue yako ni english????😀😀😀😀😀😀
Munapenda uzungua wakati mwafrika
Tanzania kweri ni ldc 😀😀😀😀😀kuandika kiswahili kwenye page ya Rooney tayali unapata usemi usemao JASILI HAACHI ASILI NA MKATAA KWAO MTUMWA .NAKIPENDA SNA KISWAHILI NAIPENDA SANA NCHI YANGU TANZANIA KWERI NIYAKIPEKEEEEEEEEEE.
Sent from my itel_it1503 using JamiiForums mobile app
hamna kitu apo.Osterbay
![]()
M.Hotel dsm![]()
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
we umtumwa unaejiona huru huelewi tu inamaanaTanzania kweri ni ldc 😀😀😀😀😀
That is a panoramic imageEish..what is wrong with your pictures?.... SMH.