Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mbona viti vyambele havija kaliwa?? Ni mvua au jua?? Lol. Nairobi shidaaaa
DEjJCS3W0AA2Hbv.jpg
 
Tatizo mnafikiri kutetea vitu ambavyo ukweli upo wazi kuna wafanya muonekane wazalendo.
Qulul haq wainkkanna Murrah!
Hahaha umeamua kutoa na fatwa 😀😀😀
Yani imekuuma mpaka umechimba zaidi
Aise pole sana pumzika kidogo
 
Kumbe Nairobi Luna bahari sikujua.wakenya noma.

Sent from my TECNO-Y2 using JamiiForums mobile app
 
Dar es salaam. The leading East Africa city.
FB_IMG_1499838513765.jpg
FB_IMG_1499838530505.jpg
FB_IMG_1499838546336.jpg
FB_IMG_1499838546336.jpg
 

Attachments

  • FB_IMG_1499838005550.jpg
    FB_IMG_1499838005550.jpg
    20.3 KB · Views: 26
wewe unaleta vistori toka kwenye hivyo viiblog uchwara,mimi ninazungumza kwa experience ya kuishi kwenye huo mji.
Usifikiri wote tunatoka msanga kama wewe.
Wewe fala nini. Mbona huleti hizo source zako. Naona unatafuta mme siyo!? Nenda taratibu usije ukaiona JF chungu. Unataka nianze kukufuatilia comment zako siyo. Wewe siyo mtanzania mwehu wewe.
 
Back
Top Bottom