Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Everton wachezaji 11... Kasarani kuna over 5000 athletes ..alafu kwani Everton watacheza na nani?

sent from iPhone 7
Twende kazi

Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete ni mkombozi Afrika Mashariki

Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) imekua mkombozi kwa wagonjwa wa moyo Afrika Mashariki kufuatia kupungua kwa gharama za matibabu ukilinganisha na ilivyokua hapo awali.

Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Mbunge wa jimbo la Dokolo nchini Uganda Bi.Cecilia Barbara alipotembelea taasisi hiyo ili kuona na kujifunza jinsi Serikali ya Tanzania inavyotoa huduma za Afya kwa wananchi wake .

Bi.Cecilia amesema taasisi hii ni msaada mkubwa kwa Afrika Mashariki kwasababu itasaidia kupunguza idadi ya wagonjwa wa moyo wanaopelekwa nchini India au Afrika Kusini kwa matibabu kama ilivyo awali baadala yake watatibiwa Tanzania au nchini kwao.


MATUKIO @ MICHUZI BLOG: Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete ni mkombozi Afrika Mashariki
 
Twende kazi

Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete ni mkombozi Afrika Mashariki

Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) imekua mkombozi kwa wagonjwa wa moyo Afrika Mashariki kufuatia kupungua kwa gharama za matibabu ukilinganisha na ilivyokua hapo awali.

Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Mbunge wa jimbo la Dokolo nchini Uganda Bi.Cecilia Barbara alipotembelea taasisi hiyo ili kuona na kujifunza jinsi Serikali ya Tanzania inavyotoa huduma za Afya kwa wananchi wake .

Bi.Cecilia amesema taasisi hii ni msaada mkubwa kwa Afrika Mashariki kwasababu itasaidia kupunguza idadi ya wagonjwa wa moyo wanaopelekwa nchini India au Afrika Kusini kwa matibabu kama ilivyo awali baadala yake watatibiwa Tanzania au nchini kwao.


MATUKIO @ MICHUZI BLOG: Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete ni mkombozi Afrika Mashariki
Hizi story zako jisome

sent from iPhone 7
 
Dar es salaam The leading city in East Africa
FB_IMG_1499837609544.jpg
FB_IMG_1499839982413.jpg
FB_IMG_1499837626702.jpg
FB_IMG_1499837660553.jpg
FB_IMG_1499837649834.jpg
 
Wakati naendelea kuwapa dozi. Nipeni sababu ya kwanini kwenye Unemployment mnaongoza East Africa??
IMG_20170704_160811.jpg
 
Back
Top Bottom