Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mzae usinibebe ndogo bana,unajuaje uyo Ni Mimi Mhogo wwe 🤔
Niwewe. Hiyo sura na unavyoandika vinaendana. 🤣 🤣🤣Lazy boy. Hapo ulipo hujala.
Screenshot_20210501-130716.png
Screenshot_20210501-130848.png
 
Sisi tunapesa za madini Mzee. Gari ni kitu cha kawaida sana kwetu. Huwezi kumuona mtanzania anajisifia magari, maana gari ni kitu cha kawaida TZ kama kiatu.
Nyie washamba tu, tumewaachia mambo hayo.🤣🤣🤣
"gari kitu cha kawaida"... Sawa nimekubali mkulungwa! Miliki hata ndege yaruhusiwa! 😂 😂 😂
 
Watanzania gari ni jambo la kawaida kama kwenda choo. Tunampango wa kuondokana na magari ya mafuta 2030 Tutaanza kutumia EV.
EV iko Nairobi wewe fala! 🤣 🤣 🤣 🤣 Si nilkuonyesha juzi gari la kwanza EA la EV ndani ya KE! Nyie subirini tu! 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom