Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Muongezee

90 percent ya viwanja vyao havina majukwaa ya watazamaji

images (29).jpeg
images (25).jpeg
images (28).jpeg
 
Nyie bado mnaishi maisha ya stone age. 🤣 🤣🤣Mnadanganywa na akina mama Ngina na Uhuru family na nyie mnacheka Cheka tu kama wapumbavu.
Hata nyie si mna Mama hapo, unadhani kakaa kiboya boya tu ka wewe, lazma ziliwe hizo hela zenyu, tena sio tafadhali! 🤣 🤣 🤣
 
Usituwekee mazizi hapa. Kama viwanja vimeisha lala Mzee. Hizo takataka mpatie mama Ngina.
Huyo Mama Ngina wamtaja taja, vipi wewe, unahitaji msaada wa dharura au uko njaa au ushafukuzwa kwenyu, mbona sipati picha? 😂 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom