NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 17,044
- 19,238
This is the Instagram page for the Tanzanian branch you idiotbado mtu atataka kubishana hata na maadmn wa page ya tahmeed
View attachment 1757737View attachment 1757738
We endelea kujichekesha mzee , izo ndio matatu zenu mnazotumia Nairobi Eldoret kitale busia mzee bado unabishiaa 😂😂😂 mabasi machache sana uko mm najua kwa sababu nishasafiri sana pande izo Eldoret express ndio mkombozi wenu na akamba ila akamba ashakufaKudadadeki, umetaja hadi sacco, Mwalimu wako nnani!? 🤣 🤣 🤣
Alafu uliyoyataja hata ni kidogo sana, wewe sio msharp wa kuchunguza, achia wenzako!
Mzee bado unakomaa na Tahmeed.This is the Instagram page for the Tanzanian branch you idiot
Ndio huyo Saif Nassoro Salim kwa linkedin, hivi anakueleza anakaa wapi?Mzee bado unakomaa na Tahmeed.
The owner of Tahmeed anaitwa Saif Nassoro Salim. Ni mkazi wa Tanga.
Tumekuachia hiyo Tahmeed iwe yenu. Tuendelee na battle.
Mzee bado unakomaa na Tahmeed.
The owner of Tahmeed anaitwa Saif Nassoro Salim. Ni mkazi wa Tanga.
Tumekuachia hiyo Tahmeed iwe yenu. Tuendelee na battle.
Number ya Kenya kwa wale wanataka kutembea Kenya.ig page ya tanzanian branch ila bado wanaweka namba za kenya[emoji23][emoji23].. nilitaka nimwambie alete ya branch ya kenya[emoji23][emoji23] ila ngoja nimpuuzie
Nimekupa home work Tafuta details zake uziweke hapa. Kwani hiyo ndiyo imakufanya ujue kuwa ni mkenya. Mbona umeng'ang'ana na kabasi kamoja. Mimesema nimekuachia tuendelee na battle.
It is bigger than all your buses combined. Nishakuwekea LinkedIn page yake ma umeona ni Mkenya. Nini Tena?Nimekupa home work Tafuta details zake uziweke hapa. Kwani hiyo ndiyo imakufanya ujue kuwa ni mkenya. Mbona umeng'ang'ana na kabasi kamoja. Mimesema nimekuachia tuendelee na battle.
Nimekupa home work Tafuta details zake uziweke hapa. Kwani hiyo ndiyo imakufanya ujue kuwa ni mkenya. Mbona umeng'ang'ana na kabasi kamoja. Mimesema nimekuachia tuendelee na battle.