Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


IMG_1617557520.459769.jpg
IMG_1617557535.015492.jpg
 
asee.. pitieni hii account inaonyesha scenario kama hizi picha.. brazil ndo inaongoza kuwa hivyo.. btw, hakuna picha hata moja kutoka Tanzania
pitia website yao..watakuonyesha dar es salaam

1617560138169.png
 
pitia website yao..watakuonyesha dar es salaam

View attachment 1743465
Mbona Dar es Salaam hainanga tarmac kwa access roads. Yaani hata mitaa high end haina barabara ni za vumbi tu.

1.PNG
 
pitia website yao..watakuonyesha dar es salaam

View attachment 1743465

i know this place.. mostly ni pale namanga

hio eneo limesababishwa na wakoloni wenyewe kwamba watu wasivuke mipaka ya makazi (settlements) yao

ila baada ya kuondoka, watu wa kawaida wakaenda kwenye hizo settlement kujenga.. kwetu kwenyewe ni masaki na sisi ni watu wa kawaida tu
 
Back
Top Bottom