Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,917
- 103,788
hapo jangwani ni shida tupu,,,serikali inapaswa ijiongeze harakaKunaonekana kama kuna shughuli nyingi pale Jangwani.
View attachment 1735527
View attachment 1735528
View attachment 1735529
View attachment 1735530
hapo jangwani ni shida tupu,,,serikali inapaswa ijiongeze haraka
Mitaa ya AlMuntazir kuna maghorofa yamezuka kama uyoga yanabana mto na kuongeza kina kwahiyo yanakwamia pale inabidi liangaliwe ile nafasi ya Estuaries inabidi ilindwe! Sijui NEMC wako wapi?hapo jangwani ni shida tupu,,,serikali inapaswa ijiongeze haraka
Naona kuna wengine wanafungua account za fb na kujiita jina lake.inaonekana ni Didie Mlawa (not sure).. siku niliyoproof/hisi kuwa ni yeye ni siku ametangaza kifo cha baba ake.. na watu wa kimara walisema huyo baba mtoto wake mmoja wao ni Didier Mlawa.. nasikia jamaa ana watoto wawili sijui na mke
sijakuelewa Didie Mlawa ndo kigogo2014? yaani changamkia zawadi nono! huyo atakuwa edward Snowden wa Tanzania! soon atakuwa Kichelewa2021 maana Wakenya mbele ya hela watamu-expose!! Serikali iseme hilo dau ni la kiasi gani!?inaonekana ni Didie Mlawa (not sure).. siku niliyoproof/hisi kuwa ni yeye ni siku ametangaza kifo cha baba ake.. na watu wa kimara walisema huyo baba mtoto wake mmoja wao ni Didier Mlawa.. nasikia jamaa ana watoto wawili sijui na mke
hapa sasa ndo ataanza kumnanga mama Samia 🤣🤣
Kunaonekana kama kuna shughuli nyingi pale Jangwani.
View attachment 1735527
View attachment 1735528
View attachment 1735529
View attachment 1735530


Poor design not impressiveHii hapa ndio homa ya EA, Magufuli bus terminalView attachment 1735730
Sent using Jamii Forums mobile app
Thank you for reinforcing my observation. Is it a school, prison or what?Umia pole pole usije ukajiuaView attachment 1735783View attachment 1735784View attachment 1735785
Sent using Jamii Forums mobile app
This thing is proper, we just need 3 of this in Nairobi, Uhunye with his green park terminal! What a shame he even goes to inspect that mediocrityUmia pole pole usije ukajiuaView attachment 1735783View attachment 1735784View attachment 1735785
Sent using Jamii Forums mobile app