Mkuu hii comment umeandika ukiwa hujiamini kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umeona Kenya tukifunga border mnavyopata kiwewe. Mnakosa usingizi kabisa. Mnaamkia asubuhi na kukimbia kwenye border. Leo ndio mtajua baba yenu ni nani ukanda huu.
Mturuki ndio fake zaidi. Ameshindwa kukamilisha 200 km na alikuwa akamilishe mradi November 2019 sasa ni mwaka moja unusu. 200 km inamshinda ndio ataweza 600 km au zaidi?kwanini hii contract hakupewa kina strabug ya austria, china is pure fraud ata sgr kiukweli izo phases zilizobaki apewe tuu mturuki
Mturuki anajenga 722km kama ulikua huna taarifa dar to singida makutupora na mturuki anatumia european standards hajengi ovyo ovyo tu kama mchina alivowafanya 😁😁😁 mwaka huu mwezi wa tano tunafungua phase 1 mwakani mwezi wa pili phase 2Mturuki ndio fake zaidi. Ameshindwa kukamilisha 200 km na alikuwa akamilishe mradi November 2019 sasa ni mwaka moja unusu. 200 km inamshinda ndio ataweza 600 km au zaidi?
hatuna fitna hizo mshikaji wale jamaa wakishika mizizi hatuponi maana kwa boat watakuwa wanaingia Mtwara watakavyo! angalia unachofurahia kama vile tutabaki salama!I was trying to connect dots but co lazima dots ziungane, ss Geza hizo ni fikra zangu tu haya mambo yana nyuma ya pazia mzee.
Mm nafkiri hata hao investors wameshaona tanzania kuna potential kubwa zaidi alaf pia ukiangalia pia kwenye securitywise ndio jambo muhimu zaidihatuna fitna hizo mshikaji wale jamaa wakishika mizizi hatuponi maana kwa boat watakuwa wanaingia Mtwara watakavyo! angalia unachofurahia kama vile tutabaki salama!
![]()
hata Mozambique kuna ujenzi wa LNG ila wameanza na offsshore fields na uwekezaji wa Mozambique ni zaidi ya $50 bln! Kila mtu atapata riziki yake asikudanganye mtu!Mm nafkiri hata hao investors wameshaona tanzania kuna potential kubwa zaidi alaf pia ukiangalia pia kwenye securitywise ndio jambo muhimu zaidi
BTW si vizuri kuwa na fikra za hujuma tuna urafiki mzuri na Mozambique na tutafaidi woote soko la South East Asia ni kubwa kwa woote!I was trying to connect dots but co lazima dots ziungane, ss Geza hizo ni fikra zangu tu haya mambo yana nyuma ya pazia mzee.
Ni kweli tuombe Mungu mambo yaende vizuri🤝hata Mozambique kuna ujenzi wa LNG ila wameanza na offsshore fields na uwekezaji wa Mozambique ni zaidi ya $50 bln! Kila mtu atapata riziki yake asikudanganye mtu!
Usalama ni muhimu kwetu soote haswa ukiangalia ukaribu wa visima vya gesi! husda tuwaaachie manyang'au!Ni kweli tuombe Mungu mambo yaende vizuri🤝
Poa. Naona wewe ni mwenyeji wa Mombasa.Kwasababu naijua in out huna cha kunidanganya nimekuja mombasa zaidi ya mara 10 😃😃😃😃😃 nimefika mpaka malindi kasoro lamu ndio sijafika
LNG project loading....
leta evidence basi sio unaongea tu!
hata mie najua hamna kampuni iliyopewa tender mpaka sasa zaidi ya speculations!a vivid evidence hamna kwa sasa (for me). ila mwenyewe nimewahi kusikia hilo jambo nje ya huku JF