The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
joto la jiwe njoo tafadhali.LNG project loading....
joto la jiwe njoo tafadhali.LNG project loading....
Wacha upuuzi unafikiri kinachoendelea Mozambique kinaisaidia Tanzania? hivi unajua visima vile ni pua na mdomo instability Mozambique maana yake instability Tanzania! angalia ramani uone!Aloo yn ukisikia Tz imepiga bao la maana basi ni kwenye hii project, au ndo mana kukatokea figisu za vita kule Mozambique nahisi km kuna ujanja fulani mkulu alicheza [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
I was trying to connect dots but co lazima dots ziungane, ss Geza hizo ni fikra zangu tu haya mambo yana nyuma ya pazia mzee.Wacha upuuzi unafikiri kinachoendelea Mozambique kinaisaidia Tanzania? hivi unajua visima vile ni pua na mdomo instability Mozambique maana yake instability Tanzania! angalia ramani uone!
Hivi unajua kwamba Mozambique nao walikuwa na chance ya ku win hii project?Wacha upuuzi unafikiri kinachoendelea Mozambique kinaisaidia Tanzania? hivi unajua visima vile ni pua na mdomo instability Mozambique maana yake instability Tanzania! angalia ramani uone!
Ndio maana alikimbia kwenda Chato kusalimia? Na mimi najaribu kuunganisha dots...I was trying to connect dots but co lazima dots ziungane, ss Geza hizo ni fikra zangu tu haya mambo yana nyuma ya pazia mzee.
Ngj aje joto la jiwe mana anaelewa vizuri hadithi ya hii project, ila km tutashinda hii kitu wallahi Magu anakwenda kuwa shujaa wa muda wote nchi hii ukimtoa The mighty Nyerere.Ndio maana alikimbia kwenda Chato kusalimia? Na mimi najaribu kuunganisha dots...
Na wafaransa wanakuja kwa kasi sasa...kwanza kupongeza ushindi wa Magu..kufanya maboresho ya terminal ii...n.k...
Arab constructors ndio watajengakwani mradi wa Dodoma stadium ushapewa Mkandarasi?
leta evidence basi sio unaongea tu!Arab constructors ndio watajenga
usipige kelele, ngoja majibu ya JPM naskia kuna mkakati wa kuzuia bidhaa zote za BIDCO na Brookside kuingia Tanzania! Sisi tuna maghala 10 mapya yanayoweza kuhifadhi mahindi yetu!
Sikiliza hapa...
CC: Tony254
MY TAKE
Tanzania is seeing a way to retaliate the maize ban by Kenya
Si tupo uchumi wa kati, nasema uongo ndugu zanguuuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jamaa ana mapungufu yake, ni dikteta na hapendi upingamizi, na pia anadanganya kwamba Tanzania haina corona. Uzuri wake ni kwamba anajua kujenga miundombinu.imekuwaje unamsifu ghafla? si ulikuwa unampinga humu?
usipige kelele, ngoja majibu ya JPM naskia kuna mkakati wa kuzuia bidhaa zote za BIDCO na Brookside kuingia Tanzania! Sisi tuna maghala 10 mapya yanayoweza kuhifadhi mahindi yetu!
Sikiliza hapa...
CC: Tony254
MY TAKE
Tanzania is seeing a way to retaliate the maize ban by Kenya